KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Wanawake kuanzia miaka ya 18 - 26 huwa wanadhani mke wa Obama alijua Obama atakua rais ndo akamkubali.
Unajiuliza na kushangaa kwanini mpaka leo hajaolewa pamoja na uzuri wote aliokuwa nao, kama ni ajabu basi hata wewe unastaajabisha manake mbona hata wewe mpaka leo hujaoa pamoja na mafanikio yote uliyonayo? Na swala la kusema eti kapitiwa na wangapi, kwani wewe umepitia wangap? Anza kutoa kwanza boriti lako ndo utoe la mwenzio
bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family. nachukizwa na kufanywa chanzo cha mapato, sipendi kulea financially mwanamke ambae muda wowote anakukataa ukimess maisha. ntakula starehe zote peke yangu na watoto wangu na housegilr anayewalea..i'll never touch her kwasababu at every moment, i'll have short relationships (hit and run). swala la kununua papuchi moja na kuiweka ndani (kuoa) mwisho wa siku ntaichoka na kuwa mtu wa michepuko...bora nisioe na michepuko iitwe girlfriends.
Ndoa inazima mwamko wa mapenzi, nimekuja kugundua kuwa raha kubwa ya uhusiano kwa mwanaume ni kuwa na active sexual feelings...lkn ikifikia stage ukimwona mkeo hata hujiskii kugegeda...tafua jibu. ninahitimisha kwa kusema kuwa; mapenzi ni sawa na chakula, huwezi kula wali kila siku. idea ya kuoa na kuwa na familia inahimiziwa ili dunia ilendelee kuzunguka, lkn sio lazima niwe mmoja wao (watakao ijaza dunia - kwa kuoa, kuzaa na kumentain familia). ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt", ndoa ni advantage kwa mwnamke tu (for security purpose of course, mainly financially), if i can live happily without it...LET IT BE,
shule ulizoxoma hujataj bt chuo udsm,SA umetaja
vip hzo shule hazin majina?
Sasa maswali yote unayotuuliza utasahisha au ?
kila swali marks ngapi ?
Wanawake kuanzia miaka ya 18 - 26 huwa wanadhani mke wa Obama alijua Obama atakua rais ndo akamkubali.