Nimegundua wanawake huwa wana expire date

Nimegundua wanawake huwa wana expire date

Wanawake kuanzia miaka ya 18 - 26 huwa wanadhani mke wa Obama alijua Obama atakua rais ndo akamkubali.
 
Unajiuliza na kushangaa kwanini mpaka leo hajaolewa pamoja na uzuri wote aliokuwa nao, kama ni ajabu basi hata wewe unastaajabisha manake mbona hata wewe mpaka leo hujaoa pamoja na mafanikio yote uliyonayo? Na swala la kusema eti kapitiwa na wangapi, kwani wewe umepitia wangap? Anza kutoa kwanza boriti lako ndo utoe la mwenzio

Kwani kila anayefanikiwa lazima aoe?
 
bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family. nachukizwa na kufanywa chanzo cha mapato, sipendi kulea financially mwanamke ambae muda wowote anakukataa ukimess maisha. ntakula starehe zote peke yangu na watoto wangu na housegilr anayewalea..i'll never touch her kwasababu at every moment, i'll have short relationships (hit and run). swala la kununua papuchi moja na kuiweka ndani (kuoa) mwisho wa siku ntaichoka na kuwa mtu wa michepuko...bora nisioe na michepuko iitwe girlfriends.

Ndoa inazima mwamko wa mapenzi, nimekuja kugundua kuwa raha kubwa ya uhusiano kwa mwanaume ni kuwa na active sexual feelings...lkn ikifikia stage ukimwona mkeo hata hujiskii kugegeda...tafua jibu. ninahitimisha kwa kusema kuwa; mapenzi ni sawa na chakula, huwezi kula wali kila siku. idea ya kuoa na kuwa na familia inahimiziwa ili dunia ilendelee kuzunguka, lkn sio lazima niwe mmoja wao (watakao ijaza dunia - kwa kuoa, kuzaa na kumentain familia). ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt", ndoa ni advantage kwa mwnamke tu (for security purpose of course, mainly financially), if i can live happily without it...LET IT BE,

Version mpya ya wazazi wa leo.

Bandiko lako limenigusa.
 
Kwani kila aliemzuri lazma aolewe? Bavaria
 
Last edited by a moderator:
Bro wew ushavuluga Vuzi saii..... Saii unakuja kutuhadaa hapa....
 
Kijana acha dharau, expire date ni pale umauti unapokukuta na hii ina apply kwa men and women. Excuse me!
 
Huyo ni chaguo lako tena mnafanana kila kitu hadi tabiaUsimuache
 
mapenzi ni kama choo ukiingia kinanuka na unatoka unatema mate, ukibanwa unaenda mbio na nguo umeshikilia bahati mbaya ukute mtu ndani !!!!!!

we oa tu mapenzi ndivyo yalivyo unayemlilia hana habari nawewe kwa leo naye aliko anamlilia mtu ambaye hana habari naye pia. mchukue lydia.
 
Mkuu badilisha kiingereza katika kichwa cha habari, siyo expire date ila ni expiry date
 
bata ukimchunguza sana utashindwa kumla maadam kama uzur alionao unakuridhisha we chukua kitu piga kama mashine ukikuta bado kinanda weka ndani moja kwa moja!!!! mle kwanza alafu njjoo kutoa mrejesho!!! kila mwanamke utaeympata kwa umri huu obvious ashakua na wengine make no mistake about that!!!
 
IT expert hahaha jeu dukuzi huwa unafanya..hacking..? anyway ishu ni aliuwa binti bado mtoto so sio ishu potezea ila sasa ukitaka kuangalia alipitiwa na wangapi utachemka we kuwa naye urafiki then angalia adhabu au nidhamu aliyonayop i blv ameshajifunza maisha kwa mapito aliyopitia...u never knw may be ndio wa kukupa stable relation mpaka alikuwa anakutafta aligundua ulimpemnda afater amepevuka kiakili
 
Chamsing rud nae bush tangaza ndoa_lazima utapata majib tuu na historia yake_usikurupuke ukajipa stress
 
Kuna wimbo wa enzi hizo.....sikumbuki bendi gani

ama kweli ooohh maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombeeeeee ndicho kilichomkuta huyo binti
 
Back
Top Bottom