Nimegundua wanawake huwa wana expire date

Nimegundua wanawake huwa wana expire date

Hahaha. Mshukuru cuz alikupa hasira ya kufika ulipo, kwa namna fulani. Quick question tho, hivi kitu kiki-expire kinaweza kurudia ubora wake?
 
kama vile Nelsonrichard amesema,,,second that..
 
Last edited by a moderator:
Na wanaume pia huwa wana expire tena vibaya zaidi ya wanawake, Mimi naamini hata wewe mtoa hoja umesha expire, huwezi kuwa yuleyule wa miaka ya tisini na ndo maana wote mmekutana mkiwa bado mpo single
 
Mpe nafasi ktk maisha yako kwani huyo ndio mwenza wako.Kwa ushauri zaidi,jiulize ni kwanini mama yako alim-direct kwako
 
Hahaha. Mshukuru cuz alikupa hasira ya kufika ulipo, kwa namna fulani. Quick question tho, hivi kitu kiki-expire kinaweza kurudia ubora wake?

alitakiwa kusema amechoka na sio ame-expire!

aki-expire huyo wa kutupwa ila akichoka unaweza kum-rebrand akawa mpya like what he has done to her "mpk chuchu zimesimama" 🙂
 
bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family. nachukizwa na kufanywa chanzo cha mapato, sipendi kulea financially mwanamke ambae muda wowote anakukataa ukimess maisha. ntakula starehe zote peke yangu na watoto wangu na housegilr anayewalea..i'll never touch her kwasababu at every moment, i'll have short relationships (hit and run). swala la kununua papuchi moja na kuiweka ndani (kuoa) mwisho wa siku ntaichoka na kuwa mtu wa michepuko...bora nisioe na michepuko iitwe girlfriends.

Ndoa inazima mwamko wa mapenzi, nimekuja kugundua kuwa raha kubwa ya uhusiano kwa mwanaume ni kuwa na active sexual feelings...lkn ikifikia stage ukimwona mkeo hata hujiskii kugegeda...tafua jibu. ninahitimisha kwa kusema kuwa; mapenzi ni sawa na chakula, huwezi kula wali kila siku. idea ya kuoa na kuwa na familia inahimiziwa ili dunia ilendelee kuzunguka, lkn sio lazima niwe mmoja wao (watakao ijaza dunia - kwa kuoa, kuzaa na kumentain familia). ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt", ndoa ni advantage kwa mwnamke tu (for security purpose of course, mainly financially), if i can live happily without it...LET IT BE,
Usitake kuambukiza wenzako ujinga, haya ni mafundisho ya shetani.
 
kapime nae ngoma na kizazi halaf ndo nikupe ushauri...!!!!
 
Namba 2, 4 & 5 ni majibu tosha. Kwenye post yako na.1 ,

Vuta subira utapata wa kufanana nawe.
 
Ina maana yule mwanamke alokuletea fujo ofisini ukatafuta baunsa wa kumpelekea talaka hakuwa mkeo????? Ulimtaliki vipi?


Najiuliza tu mkuu



bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family. nachukizwa na kufanywa chanzo cha mapato, sipendi kulea financially mwanamke ambae muda wowote anakukataa ukimess maisha. ntakula starehe zote peke yangu na watoto wangu na housegilr anayewalea..i'll never touch her kwasababu at every moment, i'll have short relationships (hit and run). swala la kununua papuchi moja na kuiweka ndani (kuoa) mwisho wa siku ntaichoka na kuwa mtu wa michepuko...bora nisioe na michepuko iitwe girlfriends.

Ndoa inazima mwamko wa mapenzi, nimekuja kugundua kuwa raha kubwa ya uhusiano kwa mwanaume ni kuwa na active sexual feelings...lkn ikifikia stage ukimwona mkeo hata hujiskii kugegeda...tafua jibu. ninahitimisha kwa kusema kuwa; mapenzi ni sawa na chakula, huwezi kula wali kila siku. idea ya kuoa na kuwa na familia inahimiziwa ili dunia ilendelee kuzunguka, lkn sio lazima niwe mmoja wao (watakao ijaza dunia - kwa kuoa, kuzaa na kumentain familia). ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt", ndoa ni advantage kwa mwnamke tu (for security purpose of course, mainly financially), if i can live happily without it...LET IT BE,
 
bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family. nachukizwa na kufanywa chanzo cha mapato, sipendi kulea financially mwanamke ambae muda wowote anakukataa ukimess maisha. ntakula starehe zote peke yangu na watoto wangu na housegilr anayewalea..i'll never touch her kwasababu at every moment, i'll have short relationships (hit and run). swala la kununua papuchi moja na kuiweka ndani (kuoa) mwisho wa siku ntaichoka na kuwa mtu wa michepuko...bora nisioe na michepuko iitwe girlfriends.

Ndoa inazima mwamko wa mapenzi, nimekuja kugundua kuwa raha kubwa ya uhusiano kwa mwanaume ni kuwa na active sexual feelings...lkn ikifikia stage ukimwona mkeo hata hujiskii kugegeda...tafua jibu. ninahitimisha kwa kusema kuwa; mapenzi ni sawa na chakula, huwezi kula wali kila siku. idea ya kuoa na kuwa na familia inahimiziwa ili dunia ilendelee kuzunguka, lkn sio lazima niwe mmoja wao (watakao ijaza dunia - kwa kuoa, kuzaa na kumentain familia). ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt", ndoa ni advantage kwa mwnamke tu (for security purpose of course, mainly financially), if i can live happily without it...LET IT BE,

Hahaha.
A man says this, no one bats an eye. A woman says this, everyone loses their minds.
 
Sikiliza uncle, mwanamke hana expiry date.....alikosa matunzo mbona ulivyomhudumia alinona tena. kama umeamua kumsaidia fanya kama mshikaji....hivyo haina haja akulipe na mapenzi. Chengine, wewe kwanini hujaoa you're in late 30s kwahiyo stop pointing fingers. Sio wadada wote wanakuwa successful katika kila kila.

Tatizo ziaid nilionalo mimi why you can't last in relationship, jipange angalia mwenendo na tabia yako. Hiyo ndo muhimu zaidi kuliko ya Lydia

cc: phillipe baptiste
 
Last edited by a moderator:
bora usioe. mm sitaoa and i'll only have single-dad family.

ile shauku ya kukuzwa na wazazi waliooana na kuona kila kukicha watu wanaona ndio ilinisukuma kuoa (bila kusahau penzi zito la niliyemuoa)..nimehitimisha kwa kuona kuwa "all is corrupt",,
Which is which??
 
phillipe baptiste wewe mwenyewe Kuna wanawake hukuwaangalia Mara mbili kwakuwa hawakukuvutia for whatever reason. Inawezekana sahivi ukawashangaa jinsi walivyonawiri baada na wao kutoka kimaisha.

Kubali tu hukumvutia na Sasa umekidhi vigezo. Don't expect her to lick your feet for it though.
 
Last edited by a moderator:
Usiangalie past yake bana hayo yalipita na bora uyaache kama yalivyo maybe unavyomfikiria ikawa ndivyo sivyo
Kama umempenda wewe oa tu cz hata wewe mwenyewe una past ya kuwa na watoto na mama zao tofauti
 
Kijana hii ni movie gani vile ya kinaigeria? Mmmh hebu nikumbushe inaitwaje...
 
Ujuzi wa siku nyingi unakuza maarifa zaidi na huyu sasa atakuwa nambari one usijishaue we onja kidogo halafu utatuambia aua hata ukiamua kuendelea kimya kimya si tutajua unakula raha
 
Mpaka mama kamuelekeza ulipo, ujue hilo ni chaguo lako..mama zetu wanaona mbali sana..ukiwa na nia nae, utajua background yake tu..Siku hizi ni utandawazi sana......chukua hatua....
 
Back
Top Bottom