Vipi kwemamm habari ya masikuNajuta nimekosa mimi
Moja kati ya vitu ninavyovichukia makanisani. Hakuna sehemu umbeya unapigwa kama kanisani aisee.Hii baada ya kuambiwa mwenyekiti wa jumia yetu na mkewe wamegawana vyumba lakn kwa watu wanaonesha kuwa wapo pamoja na kanisani wana shirirki ekarist takatifu kabisa
Mm bado bado nipoKweli kabisa. Ila sasa umpate mtu sahihi kwako.
😆😆Akili mnemba na ndoa ni maji na moto
Mungu mwema sijui wew kakaVipi kwemamm habari ya masiku
Dah sasa huu sio umbeya ni habari tuMoja kati ya vitu ninavyovichukia makanisani. Hakuna sehemu umbeya unapigwa kama kanisani aisee.
Usisikilize umbeya wewe ni dume la nyani mzee.
Unauza Ukuu wa Wassira sasa.wewe ni dume la nyani mzee.
Na wewe huweziKuishi na mtu mmoja myaka 40 we kuweza😅😅?
Migongano na ugomvi inakata hamu ya tendo ambao ndyo msingi wa kustawisha ndoa..
Watu watashangaa ila kuna muda uume unaweza usisimame kwa wife sabab ya makelele
Anza kutafuta mke, ohooo!Mm bado bado nipo
Achana na hao, mbn kununiana na kuringiana ndoani ni jambo la kawaida?Wanandoa ni waongo sana,watakwambia hawalali pamoja haujakaa sawa mkewe mjamzito!
Kwani hao wanakaa uchi? Si wamegawana vyumba!Changamoto ndogo ndogo tuu, hakikisha hutoi ushauri kwa watu wanaokaa uchi pamoja