Serious!!???.kwa mafano mimi ningekuwa wewe ningemwacha aendelee huku nafaidi pesa zake ........... ilakakwambia ukweli anauza nyapu na hawez kuacha kuuza
Weee!!ujajua uchungu wa kuliwa mke sikia tu,nipo tayari nidhulumiwe pesa ila si papuchi,pesa kitu gani uoni jamaa alivyo andika hapo anasema ;lakini bado nampenda;usicheze na hii makitu,papuchi noumaa!kwa mafano mimi ningekuwa wewe ningemwacha aendelee huku nafaidi pesa zake ........... ilakakwambia ukweli anauza nyapu na hawez kuacha kuuza
Assume ni ukweli hiyo stori; ni vigumu kweli maana alishakaa naye kwa muda mrefu na wanawake wa hivyo i bet wanajua kuhandle mwanaume usiombe. Wanajituma (ili kuficha madhambi yao) kisawa sawa, utakuta akirudi home analeta zawadi, anamnunulia mume nguo na pengine madiko yote ni gharama kwake. Mwanamke wa hivyo hata hela anakuachia kitandani za matumizi. Sasa uanze kutegemewa kama ATM ni ngumu kidogo!!! Hilo ni kaa la moto akimeza anaungua akitema anatema utamu. Naunga mkono wazo la miss chaggaAchana naye haraka sana, piga chini huyo ni shetani. Angalia mwanao tu. Wasichana mbona wapo wengi tu hawajaolewa na wanatafuta wanaume. Jipe muda Mungu atakuonesha mke mwingine, ila kwa huyo alishakubuhu kwa uchangudoa.
Shida za kwenu anazihandle wakati mwingine bila wewe kujua, na mama ni kipenzi chake kwani vitenge na handbag kila mara vinapelekwa. Huwezi kumwambia kitu akakuelewa.Assume ni ukweli hiyo stori; ni vigumu kweli maana alishakaa naye kwa muda mrefu na wanawake wa hivyo i bet wanajua kuhandle mwanaume usiombe. Wanajituma (ili kuficha madhambi yao) kisawa sawa, utakuta akirudi home analeta zawadi, anamnunulia mume nguo na pengine madiko yote ni gharama kwake. Mwanamke wa hivyo hata hela anakuachia kitandani za matumizi. Sasa uanze kutegemewa kama ATM ni ngumu kidogo!!! Hilo ni kaa la moto akimeza anaungua akitema anatema utamu. Naunga mkono wazo la miss chagga
Huenda wakati wanakutana alikuwa na decent girl ambae alipigwa chini kwakuwa hazungushi sterling.Kama hautajili unaweza kutuambia ulikutana nae kwenye mazingira ghani
If this is true,no way.Dini zote zinakataza uzinzi na ni mahali pekee ambapo kuna kibali cha ndoa kuvunjika.Anaweza kuondoka na mzungu wewe unangoja mke arudi kazini.