Nimegundua makazini, watu wengi wanaogopa bosi wao, kuliko wanavyomwogopa Mungu

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,699
Habarini,

Yaani mtu kabla ya kuongea chochote, let's say kwenye group la Whatsapp, mtu anawaza mara tatu tatu ndiyo aongee, mtu anakua veeery careful kuhusu anachoongea.

Utakuta unaona changamoto fulani kwenye idara, iliodumu kwa muda mrefu kiasi, na kuna uwezeoano mkubwa ikiendelea itaenda kuwa a bigger problem, na iyo changamoto inakuhusu na kuku-affect wewe, ukiifikisha kwenye group la whatsapp kwa namna ya adabu, heshima, ukweli na nia njema, superiors wako wanaku-crash na kukwambia you're disappointing, una utoto, ingetakiwa utuambie sisi kwanza, md akiona hiyo changamoto, atatuona wote tumeshindwa hio kazi, na anaweza akaamua tu kukufukuza, au wote hapa tukafukuzwa.

Sasa nashindwa kuelewa, bosi utamfukuzaje employee wako aliekuambia kwa heshima kwamba sehemu fulani ina changamoto moja, mbili, tatu?

Na mko group Moja la Whatsapp aliloanzisha MD mwenyewe, wakati wote mnafanya kazi pamoja for a mutual success of a company.

Au labda mimi ndo sielewi siasa za kazini, wenye uzoefu naomba mnijuze.
 
Habarini,

Yaani mtu kabla ya kuongea chochote, let's say kwenye group la Whatsapp, mtu anawaza mara tatu tatu ndiyo aongee, mtu anakua veeery careful kuhusu anachoongea.

Utakuta unaona changamoto fulani kwenye idara, iliodumu kwa muda mrefu kiasi, na kuna uwezeoano mkubwa ikiendelea itaenda kuwa a bigger problem, na iyo changamoto inakuhusu na kuku-affect wewe, ukiifikisha kwenye group la whatsapp kwa namna ya adabu, heshima, ukweli na nia njema, superiors wako wanaku-crash na kukwambia you're disappointing, una utoto, ingetakiwa utuambie sisi kwanza, md akiona hiyo changamoto, atatuona wote tumeshindwa hio kazi, na anaweza akaamua tu kukufukuza, au wote hapa tukafukuzwa.

Sasa nashindwa kuelewa, bosi utamfukuzaje employee wako aliekuambia kwa heshima kwamba sehemu fulani ina changamoto moja, mbili, tatu?

Na mko group Moja la Whatsapp aliloanzisha MD mwenyewe, wakati wote mnafanya kazi pamoja for a mutual success of a company.

Au labda mimi ndo sielewi siasa za kazini, wenye uzoefu naomba mnijuze.
Ndio malezi ya watanzania tokea majumbani kwa wazazi wao...wanafundishwa kuwa mazezeta
 
Ndio malezi ya watanzania tokea majumbani kwa wazazi wao...wanafundishwa kuwa mazezeta
Ukweli huu utawauma wengi,ujinga,uoga na upumbavu ndio uliotufikisha hapa,push back hakuna kabisa!wanachuo wa UDSM walimfanyia push back president Nyerere na ikaleta heshima mpaka akina president kikwete wakapata ajira za moja kwa moja, tuache kulalama humu
 
Do not cheat your boss, you are own the boss. Bosi ni mdau tu katika kutimiza majukumu ya ofisi/taasisi ili ifikie malengo iliyojiwekea. Kumtetemekea bosi hiyo ni nidhamu ya woga na hofu ya kukosa ajira na ni kutokujitambua thamani yako katika ofisi/taasisi hiyo. Bosi ana akili zake na mimi nina akili zangu, tupeane heshima za kawaida tu kwa mujibu wa mila na desturi zetu full stop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom