Nimegundua kwamba

Nimegundua kwamba

Nmegundua jf imeshusha uaminifu wa wanaume kwa wake zao.
 
nimegundua kuwa hujagundua kuwa unajiabisha kwa ugunduzi wa kitoto.
Nimegundua huna jipya mbele ya umma.
nakugundulisha ukiishiwa cha kusema n vema ukafunga bakul
nakugundulsha akil yako imeisha.
 
nimegundua kuwa hujagundua kuwa unajiabisha kwa ugunduzi wa kitoto.
Nimegundua huna jipya mbele ya umma.
nakugundulisha ukiishiwa cha kusema n vema ukafunga bakul
nakugundulsha akil yako imeisha.

nimegundua kuwa umepatwa najaziba ila sina cha kukusaidia labda ugundue na wewe ugunduzi wa kiutu uzima kabla akili yako na wewe haijaisha. Asante kwa ugunduzi
 
nimegundua kuwa hujagundua kuwa unajiabisha kwa ugunduzi wa kitoto.
Nimegundua huna jipya mbele ya umma.
nakugundulisha ukiishiwa cha kusema n vema ukafunga bakul
nakugundulsha akil yako imeisha.

hii topic niliipost kwenye jukwaa la utani, udaku n.k kwahiyo siyo ya kitoto ila it's just a joking
 
teh teh teh nimegundua nikimpata huyo manka atanisaidia sana ktk shughul zangu za duka ebu niunganishie lakini mwambie hela ya matumiz atatafuta mwenyewe yangu nataka kujengea

Nimegundua mimi sikutaki kwa kuwa mbahili sana kwani unajenga kijiji kizima
 
nimengudua kwamba yeyote anayesoma post yangu hapa nitakuja kumuoa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom