Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Tumshukuru Mungu kwa pumzi hii na riziki anazotupatia.
Mnamo tarehe 28 September niliweka Uzi hapa JF nikimuulizia na kumtafuta mwanachama maarufu Bw. GENTAMYCINE ambaye happy awali sikuwahi kumfahamu kwa lolote lakini namna alivyoongelewa na wanajukwaa ikanibidi nitie muhuri katika ulimwengu wa roho na kuanza Kumtafuta, Namshukuru Sana Mungu kwani ni Mwema kila wakati Amenijibu na hatimaye jana nimeona comment ya huyu ndugu popoma.
Kaka popoma nimefurahishwa Sana na ujio wako wa mara ya pili hapa jukwaani, ni imani yangu utakuwa mstari wa mbele kutema madini "Heavy" ili "kuwafunda" vijana, Mimi pia niko mstari wa mbele kujifunza toka kwako.
Ubarikiwe sana ndugu yetu popoma, Nakukubali.
Mnamo tarehe 28 September niliweka Uzi hapa JF nikimuulizia na kumtafuta mwanachama maarufu Bw. GENTAMYCINE ambaye happy awali sikuwahi kumfahamu kwa lolote lakini namna alivyoongelewa na wanajukwaa ikanibidi nitie muhuri katika ulimwengu wa roho na kuanza Kumtafuta, Namshukuru Sana Mungu kwani ni Mwema kila wakati Amenijibu na hatimaye jana nimeona comment ya huyu ndugu popoma.
Kaka popoma nimefurahishwa Sana na ujio wako wa mara ya pili hapa jukwaani, ni imani yangu utakuwa mstari wa mbele kutema madini "Heavy" ili "kuwafunda" vijana, Mimi pia niko mstari wa mbele kujifunza toka kwako.
Ubarikiwe sana ndugu yetu popoma, Nakukubali.