Tariq f
JF-Expert Member
- Dec 11, 2021
- 233
- 345
JamiiForums ni jukwaa nililotokea kulipenda sana toka nijiunge nayo mnamo mwaka jana. Jukwaa hili nimetokea kuwa na uraibu nalo kabisa, kiasi kwamba haiwezi kupita siku bila kutupia jicho.
Tokea nijiunge kwenye hili jukwaa nimekuwa nikijifunza kutoka kwenu viongozi, nikiburudika na pia nikijengeka katika nyanja tofauti tofauti.
Vile watu wakigombana na kupatana huwa nafurahi sana, pia nafurahishwa na baadhi ya wanachama wa humu na tabia zao.
Baadhi ya wakali hao ni kama wafuatao;
Smart911 hajawahi mtukana mtu wala kumdhihaki mtu na mara zote anatakia watu mema, majibu yake hayazidi mistari miwili.
Bujibuji Simba Nyamaume mkongwe wa JamiiForums, mara zote huwa anatupa darasa vijana na kuhamasisha watu kwenye mambo mbalimbali.
Mshana Jr huyu jamaa ana ushawishi mkubwa JF, kiasi kwamba akitoa uzi lazima nikaucheki, na si kwangu tu bali kwa maelfu ya wana JF.
mpwayungu village huyu jamaa anaongoza kwa maadui JF, yaani mwamba angekuwa mubashara nahisi angedundwa hata ngumi, ila jamaa hajali ana kusongakusonga mbele.
GENTAMYCINE aka popoma, jamaa anapenda sana sifa, kila kukicha anatengeneza ID mpya, halafu anaanzisha hoja huku anajibu mwenyewe.
martial jb huyu jamaa huwaga namfuatilia sana, kwanza huwa anakuwa na hoja zenye nguvu na pia hachagui jukwaa, popote utamkuta yaani kiraka.
DeepPond huyu jamaa ni msimulia hadithi, anajua kweli kupangilia matukio ya simulizi kwa kifupi hamchoshi msikilizaji.
Tate Mkuu yaani yeye hata kama ukiiongelea Yanga kwa kheri yeye lazima atakubadilikia tu, akili yake imejaa unjano na utopolo.
Lizzy humwambii kitu kuhusu jukwaa la vyakula na JF Snaps.
HS CODE huyu jamaa utamkuta jukwaa la ajira tu, sijui hajaajiriwa? Anapenda uzi wa utumishi kuchelewa kuitwa kwenye saili.
NtYga huyu mwamba utamkuta uzi wa Manchester United tu! Tena maoni ni ya Kingereza.
National Anthem huyu mwamba huwa hatengenezi uzi, ila huwa anatoa maoni tu, kwenye ujinga anatoa maoni ya ujinga kwenye umakini anakuwa makini.
Erythrocyte huyu jamaa humwambii kitu kuhusu CHADEMA, nahisi ni Lissu huyu, anatoa maoni kwenye jukwaa la siasa tu.
CONTROLA mwamba yupo makini sana.
Extrovert mwamba yupo mnyenyekevu sana na anaonekana ni mpambanaji.
Kalpana mwanamama wa Simba, yaani ukiona Simba imeongelewa ujue lazima atie mguu.
Naomba wengine muendelee kuwaorodhesha na tabia zao, maana orodha si ya kitoto.
Tokea nijiunge kwenye hili jukwaa nimekuwa nikijifunza kutoka kwenu viongozi, nikiburudika na pia nikijengeka katika nyanja tofauti tofauti.
Vile watu wakigombana na kupatana huwa nafurahi sana, pia nafurahishwa na baadhi ya wanachama wa humu na tabia zao.
Baadhi ya wakali hao ni kama wafuatao;
Smart911 hajawahi mtukana mtu wala kumdhihaki mtu na mara zote anatakia watu mema, majibu yake hayazidi mistari miwili.
Bujibuji Simba Nyamaume mkongwe wa JamiiForums, mara zote huwa anatupa darasa vijana na kuhamasisha watu kwenye mambo mbalimbali.
Mshana Jr huyu jamaa ana ushawishi mkubwa JF, kiasi kwamba akitoa uzi lazima nikaucheki, na si kwangu tu bali kwa maelfu ya wana JF.
mpwayungu village huyu jamaa anaongoza kwa maadui JF, yaani mwamba angekuwa mubashara nahisi angedundwa hata ngumi, ila jamaa hajali ana kusongakusonga mbele.
GENTAMYCINE aka popoma, jamaa anapenda sana sifa, kila kukicha anatengeneza ID mpya, halafu anaanzisha hoja huku anajibu mwenyewe.
martial jb huyu jamaa huwaga namfuatilia sana, kwanza huwa anakuwa na hoja zenye nguvu na pia hachagui jukwaa, popote utamkuta yaani kiraka.
DeepPond huyu jamaa ni msimulia hadithi, anajua kweli kupangilia matukio ya simulizi kwa kifupi hamchoshi msikilizaji.
Tate Mkuu yaani yeye hata kama ukiiongelea Yanga kwa kheri yeye lazima atakubadilikia tu, akili yake imejaa unjano na utopolo.
Lizzy humwambii kitu kuhusu jukwaa la vyakula na JF Snaps.
HS CODE huyu jamaa utamkuta jukwaa la ajira tu, sijui hajaajiriwa? Anapenda uzi wa utumishi kuchelewa kuitwa kwenye saili.
NtYga huyu mwamba utamkuta uzi wa Manchester United tu! Tena maoni ni ya Kingereza.
National Anthem huyu mwamba huwa hatengenezi uzi, ila huwa anatoa maoni tu, kwenye ujinga anatoa maoni ya ujinga kwenye umakini anakuwa makini.
Erythrocyte huyu jamaa humwambii kitu kuhusu CHADEMA, nahisi ni Lissu huyu, anatoa maoni kwenye jukwaa la siasa tu.
CONTROLA mwamba yupo makini sana.
Extrovert mwamba yupo mnyenyekevu sana na anaonekana ni mpambanaji.
Kalpana mwanamama wa Simba, yaani ukiona Simba imeongelewa ujue lazima atie mguu.
Naomba wengine muendelee kuwaorodhesha na tabia zao, maana orodha si ya kitoto.