nimefumania

nimefumania

kabiriga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,213
Wakati wote wa maisha yangu kabla ya sasa nilikula kihapo changu cha kutomsamehe mke wangu iwapo atafanya mambo yafuatayo: 1. kunilisha limbwata
2.nikimfumania
lakini hili lime nipata na najishahuri kutekeleza kihapo changu.mke wangu nimwemwambia aende kwao,sijamwambia kuwa nimemuacha.Roho yangu sasa haipo radhi kwani nimemzoea .sasa waungwana nifanye nii?
 
Msamehe na umpe second chance...mara nyingine tunatoa viapo kana kwamba hao tunaoishi nao ni malaika!
Next time uwe makini....
 
ukimrudisha atakuona zuzu..huwezi kuishi bila yeye ..atakupanda kichwani..lazima arudie... LAZIMA AKUPASUE MISULI YA KICHWA KWA MAWAZO,..jipangee
 
Wakati wote wa maisha yangu kabla ya sasa nilikula kihapo changu cha kutomsamehe mke wangu iwapo atafanya mambo yafuatayo:
1. kunilisha limbwata
2.nikimfumania

lakini hili lime nipata na najishahuri kutekeleza kihapo changu.mke wangu nimwemwambia aende kwao,sijamwambia kuwa nimemuacha.Roho yangu sasa haipo radhi kwani nimemzoea .sasa waungwana nifanye nii?
Sijakuelewa ndugu yangu! katika hizo red hapo juu, mke wako amekukosea nini kati ya hayo mawili - kakulisha limbwata au umemfumania?
 
Uliteleza mahala, hebu jirekebishe! pia rejesha mapenzi kwa mwenzio na arudi nyumbani....
 
Wewe Dini gani kwanza kabla sijatoa ushauri wangu
 
Kama umemfumania hiyo ni kesi nyingine.
Jiulize ni nini kimemfanya akusaliti;
Je, haumtoshelezi, humpatii mahitaji yake kama mkeo, haueleweki.
 
Usiache kumsamehe kwa sababu ya kiapo,kaa ufikirie kama unaona bado unamhitaji na unaweza kumsaidia kutorudia kosa lake waweza kumrudia,ila kama moyo wako unakuambia hana faida kwako na taa nyekundu imewaka basi mwache.Usiache viapo viongoze maisha yako coz mara nyingi viapo vinakuwa vimebase kwenye illusions na sio real life,so angalia uhalisia wa maisha yako na huyo wife wako na mapenzi yako kwake na sio kiapo.
 
Nimemfumania ,kichwa cha habari kinajieleza
 
Kumsamehe aliye cheat ni tabu! ila be yourself, there are people you cant live with them but you can be arround them!
 
Ni ruhusa gani inampa uhuru wa kutembea nje ya ndoa ata kama apati hayo usemayo?
 
Samehe 7x70 ktk siku moja! Hiyo ni sawa na.... Kumbuka, binadamu hatujakamilika!
 
Back
Top Bottom