kabiriga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 1,163
- 1,213
Wakati wote wa maisha yangu kabla ya sasa nilikula kihapo changu cha kutomsamehe mke wangu iwapo atafanya mambo yafuatayo: 1. kunilisha limbwata
2.nikimfumania
lakini hili lime nipata na najishahuri kutekeleza kihapo changu.mke wangu nimwemwambia aende kwao,sijamwambia kuwa nimemuacha.Roho yangu sasa haipo radhi kwani nimemzoea .sasa waungwana nifanye nii?
2.nikimfumania
lakini hili lime nipata na najishahuri kutekeleza kihapo changu.mke wangu nimwemwambia aende kwao,sijamwambia kuwa nimemuacha.Roho yangu sasa haipo radhi kwani nimemzoea .sasa waungwana nifanye nii?