ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,642
- 3,270
Ngoja nizikusanye nitakutumiaMimi mwenyewe ndiyo natafuta aisee. Ni new katika hiyo deal so bado najifunza
Ngoja nizikusanye nitakutumiaMimi mwenyewe ndiyo natafuta aisee. Ni new katika hiyo deal so bado najifunza
Poa mzeeNgoja nizikusanye nitakutumia
Wapo waliopandishwa na wengine hawajapandishwaLitoke wapi daraja boss mbona hawajapandisha?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Kuna ambao wamepandaLitoke wapi daraja boss mbona hawajapandisha?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Bro humu hakuna watumishiKuna ambao wamepanda
Ndio wamepandishwa wachache Sana, siasa zao na mbwembwe eti tutapandisha watumishi wote imeshindikana, sasa tunaanza kuandika barua za mapunjoKuna ambao wamepanda
ami nimeona kwangu siioni kitu labda bado mwisho wa mweziMALIMBIKIZO YA MSHAHARA KAMA SERIKALI ILIVYOAHIDI BADO
Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania chini Raisi mpendwa MH. SAMIA SULUHU HASSAN imetekeleza upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma kwa 70% , Sasa ni muda wa malimbikizo ya mishahara ya kipindi kilichopita Kama waziri wa utumishi alivyoahidi kwamba litatekelezwa mwezi June 2021.
Mama watumishi wanakitegemea Sana Kama ulivyofanya kwa upandishaji madaraja.
Watumishi wanasubiri Hilo litekelezwe.
Iyo 70% haifiki maana waliopandishwa ni kidogo sanaMALIMBIKIZO YA MSHAHARA KAMA SERIKALI ILIVYOAHIDI BADO
Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania chini Raisi mpendwa MH. SAMIA SULUHU HASSAN imetekeleza upandishaji madaraja kwa watumishi wa umma kwa 70% , Sasa ni muda wa malimbikizo ya mishahara ya kipindi kilichopita Kama waziri wa utumishi alivyoahidi kwamba litatekelezwa mwezi June 2021.
Mama watumishi wanakitegemea Sana Kama ulivyofanya kwa upandishaji madaraja.
Watumishi wanasubiri Hilo litekelezwe.
Hakuna uzembe wowote, hawa jamaa hawana pesa tu, kama walivyojitapa kweli kumbe uozo tuHawa wanatuchezea akili mbona watu wengi hawajapanda au ni uzembe wa maafisa utumishi na je kama maafisa utumishi wamezembea wataachwa hivyohivyo?inasikitisha watu toka 2014 na wengine nyuma ya hapo lakini hakijaeleweka!
i see you have very limited educationKwahiyo wanapokea kabla ya kazi??😂😂
Wanasubiri tarehe 22 23 humo waanze kuvuruga mamboUzi umekufa rasmi