Death after life
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 379
- 422
Daaah ubakaji kiuchumi mkuu.nakopesha laki kwa laki na 40 mwisho wa mwezi, nicheki
Daaah ubakaji kiuchumi mkuu.nakopesha laki kwa laki na 40 mwisho wa mwezi, nicheki
Uzi naomba uendeleee
Yani kwa mshshara wa 200K kwenda kazini asubuhi kurudi saa 9.Sasa mkuu ulikopa miaka 6 iliyopita Ila makato hayaishi Sasa hio 200k ndo inayobaki unarudi nayo home....kiukweli maisha ya utumishi ni utumwa Sana....
Watu wamefanya top_up kila baada ya miezi sita ya mkopo, jiwe limetesa wengi acha tu, miaka 6 kila daraja wala incrementSasa hapo utaachaje kufulia Kila mwezi?
Bado mkuu vuta pumzi Around 23rd au 24th.I am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
hahahahaha Sept nafanya Top upWatu wamefanya top_up kila baada ya miezi sita ya mkopo, jiwe limetesa wengi acha tu, miaka 6 kila daraja wala increment
Pole sana, najua ni shida ndio zinafanya ufanye uamuzi huo, nilishafanya huo mchezo ila unaumizahahahahaha Sept nafanya Top up
kaanike mkewPole sana, najua ni shida ndio zinafanya ufanye uamuzi huo, nilishafanya huo mchezo ila unaumiza
Sijakuelewakaanike mkew
Subutuuu,unadhani hii ni krismasi!Kesho idd labda Leo usiku mama ataachia watu tule sherehe vizuri!!
Huu Uzi umefufukaSigned
Mi nipo nakula pilsner kwa mshahara toka jumatatu.
NA UKIISHA UPIGE KIMYA HIVYO HIVYO
I am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?