Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 578
- 657
Hongereni wote mliopanda daraja, kazi iendelee
Kwahiyo wanapokea kabla ya kazi??😂😂you mean juni tarehe 24 hujalipwa mushara wa huu mwezi wa juni 2021, kwani serikali ya bongo imekuwa broke, kenya mishara ya wafanyakazi wa serikali huja tarehe 26 ,yaani mfano tarehe 26 june munapokea pay ya mwezi wa july, pay ya june watu walipokea 26 of may
Hio nimeiona huku kwetuIla watu wengine bado hawajapanda madaraja na sijui shida ni nini
Inabidi serikali itoe ufafanuzi maana watu wamebaki gizani huku wengine wakifurahiHio nimeiona huku kwetu
Kazi iendelee, 'nani kama mama?' hakunaaaaaaaaaAisee...Kitu Tayari...Madaraja tayari.
Asante sana muheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Hakuna asee...Mama ndo kila kituKazi iendelee, 'nani kama mama?' hakunaaaaaaaaa
Subiria incriment mwezi July, kazi iendeleeHakuna asee...Mama ndo kila kitu
Aishi Miaka mingi sana
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
CRDB naona bado, nyie si mmezoea. Huwa tunaanza NMB halafu mnafata? Au umesahau?Mh wengine mbona bado hatujapokea aisee
Litoke wapi daraja boss mbona hawajapandisha?Hongereni wote mliopanda daraja, kazi iendelee
Mlinzi wetu kapunguziwa mshahara kutoka 346,000/= take home mpk 270,000/=Na mbaya kuna watu, wamepunguziwa hata mishahara( wamekatwa) waliyokuwa wanaçhukua.
Huo ni uzembe wa maafisa utumishi kutokuwaingiza kwenye mfumo ...Litoke wapi daraja boss mbona hawajapandisha?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
In due respect; huwezi jua mambo ya mtu...watu wengine wana mambo yao, na unakuta mtu anajiongelea tu kwa watu.... So, jambo la uhakika ni lako mwenyewe.Mlinzi wetu kapunguziwa mshahara kutoka 346,000/= take home mpk 270,000/=
Umenena vyema,watu wengine ni "wangese", mtu anaweza eleza uongo ili asikie kutoka kwa wengine mambo yameendaje,naunga mkono hoja,jambo la uhakika ni lakoIn due respect; huwezi jua mambo ya mtu...watu wengine wana mambo yao, na unakuta mtu anajiongelea tu kwa watu.... So, jambo la uhakika ni lako mwenyewe.
Huwezi jua ana shida/mambo gani!
Lkn pia anaweza kuwasilisha issue yake kwa uongozi kama kweli...kweny hizi issue kuna mambo mengi sana, ambayo muhusika ndo anajua.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
weka code mkuuUnacheza Fantasy Premier League?
Mimi mwenyewe ndiyo natafuta aisee. Ni new katika hiyo deal so bado najifunzaweka code mkuu