Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,205
- 2,431
Ndio aisee
Ndio aisee
na ma stress ya kujiajiri unayajua?Hii ndio tabu ya kuajiriwa,akili yote inafikiria kuingiziwa salio,siku tutakayostaafu sijui tutaishije mitaani,
Ngoja nijiunge ila imeandikwa 50.000 na siyo 50,000
Kweli hayo mbona niko crdb sioni kitumshahara tayari wakuu CRDB imesoma
utakua mtumishi hewaKweli hayo mbona niko crdb sioni kitu
Tayari?
Ni kweli?Mzigo tayr
Hakuna kitu mkuu
Labda Lile la magufuli.Vipi Madaraja? ...watu wameyaona au?