Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 562
- 502
Sytem imegomaHela ya vinywaji inaingia lini?
Wewe utakuwa unalewa saanaI am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
Sasa mtu unapokea take home 216533.56 kwa mwezi ...hivi utatoboa mwezi?Kuna watu Kila mwezi wao ni kufulia tu ...
Sasa mtu unapokea take home 216533.56 kwa mwezi ...hivi utatoboa mwezi?
Dadeki na posho nazo hazitoki. Wahasibu wanasingizia sytem
Ujumbe wenu waajiriwa wa serikaliView attachment 1829696
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Dah.Sasa mtu unapokea take home 216533.56 kwa mwezi ...hivi utatoboa mwezi?
Sasa mkuu ulikopa miaka 6 iliyopita Ila makato hayaishi Sasa hio 200k ndo inayobaki unarudi nayo home....kiukweli maisha ya utumishi ni utumwa Sana....Dah.
Hiyo si una mkopo mkuu ?
Au ni take home hiyo ?
Itakuwa take homeDah.
Hiyo si una mkopo mkuu ?
Au ni take home hiyo ?
I am in Low Water, nimefulia Kwa kweli. Tegemeo la Kwanza Salary ya Serikali. Mshahara wa Juni 2021 naona umechelewa. Nimesubiri SmS ya sijapata. Wengine kwenu Vipi?
Kuna jamaa zangu tangu 2017 mpaka sasa wanatembelea mshahara wa 181,000/= acha huyu Mwendazake aende tu maana kupata mabadiliko ya mshahara umeokoa wengiKuna jamaa yangu nilikuwa nafanya nae kazi halmashaur moja yeye akiwa technician Ila now ni TARURA ..alivuta mkopo kama 7m akaona ni nyingi bàada ya 6months zikaisha zoote akawa anapokea hiyo 178345.33 kipindi hicho....jamaa alikuwa na maisha magumu Sana akaamua kuacha kazi daah ....akasema Bora akawe boda kuliko kuwa tech wa halmashaur....daah sijui Leo Yuko wapi jamaa yangu
Sasa hapo utaachaje kufulia Kila mwezi?Kuna jamaa zangu tangu 2017 mpaka sasa wanatembelea mshahara wa 181,000/= acha huyu Mwendazake aende tu maana kupata mabadiliko ya mshahara umeokoa wengi