Nimefiwa na BABA Yangu Mzazi

Pole mkuu. Jina la Bwana/Allah lihimidiwe..yeye ndie amempenda zaidi!!
 
POle sana Mkuu na familia nzima. Allah awajalie nguvu za kuvumilia msiba huu mkubwa
 
Pole ndugu yetu.Mungu akutie nguvu na imani uweze kukabili machungu ya kuondokewa na mzazi.Ni uchungu usio kifani.
Pole sana.
 
Pole sana X_Paster pamoja na familia, Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu
 
Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema (peponi)ameen. Pia akupe wewe na familia yako nguvu na subira ya kuhimili kipindi hiki kigumu. Yeye ametangulia na sisi tutafuata, sote tupo njia moja.
 
raha ya milele umpe ee Bwana,
na mwanga wa milele umuangazie,
apumzike kwa amani.
Amina.
Inna Lillahi wa Inna Ilayhi Raji'un
 
Taarifa ya Msiba.

Assalaamu 'Alaykum wa RahmatuLlaah wa Barakaatuh,

Ndugu wapenzi, marafiki na member wa JF, kwa majonzi makubwa sana nawataarifu msiba wa Baba yangu mzazi ulio tokea tarehe 31 Aug 2010, uko Dar ES salaam kitongoji cha Sinza viwanja vya Sigara. Insha'Allah Mazishi yatafanyika Tarehe 1 Sept 2010. Saa saba mchana, kwenye makaburi ya Kisutu. Kwa wale wakazi wa Dar ES salaam kama wataweza kufika msibani basi watawawakilisha Member wengine.

“Sisi ni wa Mwenyezi Mungu nasi kwake tutarejea, Ewe Mwenyezi Mungu nilipe kwa msiba wangu na unipe badili yake bora kuliko huo”

إِنّا للهِ وَإِنَا إِلَـيْهِ رَاجِِعُـونَ ، اللهُـمِّ اْجُـرْني فِي مُصِـيبَتي، وَاخْلُـفْ لِي خَيْـراً مِنْـها.

...dah, pole sana mkuu.
'Inna Lillah wa inna Ilayhi Rajuun!'
 
Pole sana Mkuu X-Paster Mungu akuafu ktk kipindi hiki kigumu
 
Inna Lillh wa inna Ilayh Rajiun

Mungu awajaalie subra wafiwa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom