ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Habari mabestito
Nimeshindwa kuvumilia imenibidi niseme waziwazi hapa kwani wengine bila ya kuwasema hawatajirekebisha, nimekereka na vitabia vya marafiki wa siku hizi hapa mjengoni kiasi kwamba nimeshindwa kuwaacha tu waendelee na mambo yao ya kipuuzi.
Hivi wewe huwezi kuanzisha uzi wako, mpaka ufakamie uzi wa mwenzako na kumsema mwenzako eti yeye ndivyo alivyo unatafuta umaarufu kupitia mgongo wa mwenzio? hii imenikera sana kwani nimeona kule mmu mtu mzima na akili zake timamu anaanzisha uzi kwa kuchafua mtu kwa kuweka id ya mwenzake ili tu kumchafulia id yake kwanini lakini rafiki mnakuwa hivyo
Tabia hii wanayo hawa watu walioingia siku hizi hawafuati kanuni za hapa mjengoni wala hawajazisoma kwa umakini wao, wanafakamia utadhani wamelishwa shubiri ndani ya midomo yao,
Kwaniini unapenda kuweka kibanzi wakati boriti inakutazama wewe mwenyewe, Marafiki sijafurashwa na hii jambo ndo maana nimeona niwaambie ukweli kwani si busara akumuanika id mwenzako hapa wakati sisi sote ni marafiki na ni ndugu wa jf sio ustaarabu kwani hata katika vitabu vya MUNGU vinakataza kusengenya na kumsema mwenzio vibaya
hebu someni hapa:
siku ya hukumu kila mtu atatoa hesabu ndomaana Yesu akawaambia viache ngano na magugu vikue pamoja wakati wa mavuno mwenye shamba atachagua ngano na magugu kuyachoma motoni.
Hata ikiwa mtu anayo sifa ile lakini madamu unamsema nyuma yake na ni jambo ambalo mwenyewe asingelipenda kulisikia basi pia huingia katika hukumu hii ya ghiybah:
Tuachane na tabia hizi kwani hazimpendezi Mungu marafiki, usimseme mwenzio vibaya, mmpende ndo maana tukaanzisha teamrafiki kwani ni team inayojali, inayopenda, na kusaidiana pia kwanini mchoreshe mwenzio kiasi hichi.
Wasalaam
Ladyf
cc: Mamndenyi, Mtambuzi, KakaKiiza, Mentor, Paloma, Jiwe Linaloishi, Nicas Mtei, charminglady, Passion Lady, @Vislay, mwallu, jouneGwalu, steven Robert Masaku, Erickb52, watu8, measkron, Kongosho, King'asti, Paw, Young Master, @C6, The secretary, mtoto Halali na pesa, Heaven on Earth, monaco, Asprin, na marafiki wengine karibuni tujadili hili namna gani tuwasaidie wale wanaowachafua watu mjengoni hapa.
Nimeshindwa kuvumilia imenibidi niseme waziwazi hapa kwani wengine bila ya kuwasema hawatajirekebisha, nimekereka na vitabia vya marafiki wa siku hizi hapa mjengoni kiasi kwamba nimeshindwa kuwaacha tu waendelee na mambo yao ya kipuuzi.
Hivi wewe huwezi kuanzisha uzi wako, mpaka ufakamie uzi wa mwenzako na kumsema mwenzako eti yeye ndivyo alivyo unatafuta umaarufu kupitia mgongo wa mwenzio? hii imenikera sana kwani nimeona kule mmu mtu mzima na akili zake timamu anaanzisha uzi kwa kuchafua mtu kwa kuweka id ya mwenzake ili tu kumchafulia id yake kwanini lakini rafiki mnakuwa hivyo
Tabia hii wanayo hawa watu walioingia siku hizi hawafuati kanuni za hapa mjengoni wala hawajazisoma kwa umakini wao, wanafakamia utadhani wamelishwa shubiri ndani ya midomo yao,
Kwaniini unapenda kuweka kibanzi wakati boriti inakutazama wewe mwenyewe, Marafiki sijafurashwa na hii jambo ndo maana nimeona niwaambie ukweli kwani si busara akumuanika id mwenzako hapa wakati sisi sote ni marafiki na ni ndugu wa jf sio ustaarabu kwani hata katika vitabu vya MUNGU vinakataza kusengenya na kumsema mwenzio vibaya
hebu someni hapa:
siku ya hukumu kila mtu atatoa hesabu ndomaana Yesu akawaambia viache ngano na magugu vikue pamoja wakati wa mavuno mwenye shamba atachagua ngano na magugu kuyachoma motoni.
Hata ikiwa mtu anayo sifa ile lakini madamu unamsema nyuma yake na ni jambo ambalo mwenyewe asingelipenda kulisikia basi pia huingia katika hukumu hii ya ghiybah:
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رضي الله عنه ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ : (( أَتَدْرُونَ مَا الْغِيبَةُ ؟ )) قَالُوا : اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ، قَالَ
: ((ذِكْرُكَ أَخَاكَ بِمَا يَكْرَهُ )) ، قِيلَ : أَفَرَأَيْتَ إِنْ كَانَ فِي أَخِي مَا أَقُولُ ؟ قَالَ : (( إِنْ كَانَ فِيهِ مَا تَقُولُ فَقَدِ اغْتَبْتَهُ ، وَإِنْ لَمْ يَكُنْ فِيهِ فَقَدْ بَهَتَّهُ) [ أخرجه مسلم ]
: ((ذِكْرُكَ أَخَاكَ بِمَا يَكْرَهُ )) ، قِيلَ : أَفَرَأَيْتَ إِنْ كَانَ فِي أَخِي مَا أَقُولُ ؟ قَالَ : (( إِنْ كَانَ فِيهِ مَا تَقُولُ فَقَدِ اغْتَبْتَهُ ، وَإِنْ لَمْ يَكُنْ فِيهِ فَقَدْ بَهَتَّهُ) [ أخرجه مسلم ]
Tuachane na tabia hizi kwani hazimpendezi Mungu marafiki, usimseme mwenzio vibaya, mmpende ndo maana tukaanzisha teamrafiki kwani ni team inayojali, inayopenda, na kusaidiana pia kwanini mchoreshe mwenzio kiasi hichi.
Wasalaam
Ladyf
cc: Mamndenyi, Mtambuzi, KakaKiiza, Mentor, Paloma, Jiwe Linaloishi, Nicas Mtei, charminglady, Passion Lady, @Vislay, mwallu, jouneGwalu, steven Robert Masaku, Erickb52, watu8, measkron, Kongosho, King'asti, Paw, Young Master, @C6, The secretary, mtoto Halali na pesa, Heaven on Earth, monaco, Asprin, na marafiki wengine karibuni tujadili hili namna gani tuwasaidie wale wanaowachafua watu mjengoni hapa.