"Mambruki"= mamluki? wee mrundi rudi ulikotoka na nkurunzinza wako!U better go kabisa...hatutak mambruki ndani ya ccm, kuondoka kwako wala hukuwezi nyumbisha jambo lolote...maana hata bwana yule alivyoondoka wengi walifikir ccm itakufa...but ndyo kwanza mpya kabisa. Kila la heri mkuu z door is open
vi.umesahau na sasa hakuna ajira kwa masomo ya sanaa(arts) mnatakiwa wote wana sayansi tu,Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
CCM IKO IMARA HATA MKIONDOKAvi.umesahau na sasa hakuna ajira kwa masomo ya sanaa(arts) mnatakiwa wote wana sayansi tu,
Af dede umenichekesha ,unajitoa leo,baada ya kuona mkuki umegeuka unachoma na mwako pia binadamu,ulipokuwa unachoma nguruwe ulikuwa unaona rahaaaaaaaaaaaaaaa,la,na pia umeona namba 6 ikiwa katikati ya wewe na mwezio inasomeka 9,9 inasomeka 6?,af utashangaa unatafuta chama kingine at ujiuunge,vyama vyote,vimejaa moja ya mantras hizo ulizotaja;mf,cdm ukabila sana,angalia safu ya uongozi yote hadi viti maalumu,cuf pia kwa sana,sisiem,udini,ukabila,ukanda hapo ongeza utawala wa kinepo,(nepotism),wenzako tupo kwenye PH7
Ukumbuke kuwapa na kadi yako usijerudi kama Lipumba
CCM IKO IMARA HATA MKIONDOKA
Jitoe na cdm hawakutaki mwenye ndimi mbiliNina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Mkuuamekuambia amekwenda CDM? au CDM unaihofia sanaJitoe na cdm hawakutaki mwenye ndimi mbili
Tetty hakuna cha polisi hapo kila mtu atii sheria bila shuruti mambo yataenda vizuri.Imara wapi!Hebu Acheni kutumia nguvu na polisi muone kama iko imara au lah
Tetty hakuna cha polisi hapo kila mtu atii sheria bila shuruti mambo yataenda vizuri.
Maisha magumu? Kumiliki biashara ya sembe (monopoly),? Njaa ? Mikataba ya kingese? Udini? Ukabila uliokithiri? Udini uliokithiri? ..Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Kunachowaponza wengi wetu ni kauli maana wengine wanatamka maneno ambayo ni ya kiuchochezi na hawawezi kukubali kurekebisha kauli zao sasa hapo ndo huleta shida na matokeo yake ni lawama.Jamaa zetu hawataki hilo
ni shedahv. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Kwenye hili namba V, ndio ameshanikera kabisa sizonje. Anakuwa kama alisubiri miaka mingi kuleta ubaguzi huu.