Usijitoe mkuu subiri ccm mpya inakuja Mwenyekiti anatafuta hela aongeze ndege nyingine zikifika kumi kila mwanaccm atapanda bure
Au we hutaki kupanda ndege shauri yako

bwana Yule kaludisha?Ukumbuke kuwapa na kadi yako usijerudi kama Lipumba
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
wali kuwepo watu kma hawa wakapita ........basi yeye napita.......isipanic mkuuHata Kafulila wakati anahama CHADEMA mwaka 2009 alikuwa na tambo nyingi. Leo huyooo karejea. By the way who are you? Unaweza kunieleza ni mijadala gani umeanzisha humu kuisupport CCM?
mbona ccm hatuna watu kama nyie??? au ww ni ccm sampuri gani??
Its never too late to do the right thing.. Hongera brother kansigo for such a positive decision.Unakumbuka shuka kumeshakucha......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unakumbuka shuka kumeshakucha......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwani magufuli anafanya kazi gani?yeye na TRA.Tufanye kazi, tupunguze mneno
Kidogo wew umenishawishi kuwa kweri ulikuwa kada kwa hoja zako ambazo ziko openly zisizoegemea upande ule wa blue na nyekundu.Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.