Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Waache wampigie debe kwani 2025 imeshafika? Je utakuwepo au unajuwa nani atakuwa Rais 2025 jamani embu tupambane na mambo mengine.
 
MIMI NILIFAULU KWA AKILI ZANGU MWALIMU HAJACHANGIA CCHTE
Huo nao ni sehemu ya ujinga ulio nao , hizo akili ulizo nazo kama ndio hizi basi we kweli ulifahuhulu kwa akili zako yaani ni sawa na aliye sema mama ungechelewa ningekuzaa!

Kwamba ulijikuta tu wewe mwenyewe unajua hii ni 'a' na hii ni 'baba' au sio!
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
dhiki waalimu wametatuliwa kero zao nyingi
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Mpwayungu Village ni shujaa bado
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Yaani Waalimu na Chama Chao Wamegeuka Machawa. Eti unasifia kupewa Kishikwambi anachochezea Mjukuu Wangu wa Miaka 3. Wangepewa Desktop nazani wangesema wasilipwe Mishahara Kwa Mwaka mzima. Wanashindwa kuja na hoja ya Kupinga Kikokotoo watacholipwa wanapostaafu. Wanashukuru Vishikwambi😝😝🙆🙆🙆 wasubiri ni Pensheni ya Milion 38 huku wana Madeni ndio Wataona Raha ya kuwa Chawa na kumiliki Kishikwambi.
 
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopit

Wewe km haupo ktk ajira za serikali huwezi kujua kwa nini hao Walimu wanapiga makofi kwa kishindo. Jua tu kuwa ukiwa mfanyakazi wa umma ni sawa na mke alieolewa. Yani huna sauti na utaongozwa kadri ya matakwa ya anaekulisha. Huna uhuru binafsi wa kutosha. Hata ukitaka kutoka sehemu Yako ya kazi kwenda kwenu lazima uombe ruhusa na nauli anaekupa ugali na kumuuaga pia. Hapo vipi umeolewa au hujaolewa. 😃😃😃😃😃😃Ngoja nisiendelee, mwenye kujua atakuwa amejua.
Siyo Kwa Uchawa ule WA CWT wa Leo. Kama vile Wote Wanamiliki Vila na kuendesha Maprado. Yaani Mwalimu anaishi Kwa support Mishahara Kwa kuuzia Wanafunzi BG eti wanasikia Tablet.
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Pole sana.

Hiyo ajira yako ya ualimu siyo kama umefunga ndoa katoliki.

Acha ualimu ujiajiri.
 
Kuna kipindi liliibuka vuguvugu enzi za JK kutaka kila ngazi ya elimu walimu wake wawe na chama chao.

Walimu wenye vyeti ambao ndiyo wengi walikuwa very reluctant kudai maslahi kupitia migomo.

Wakitishiwa kufukuzwa tu wanatia mikia mapajani.
 
Walimu nawapongeza sana.Leo wamependeza sana mbele ya Mhe.Rais...
CWT kama mpo humu mwaka huu mmetisha sana Kwa Tisheti zenu za Leo....Hakika Mei Mosi 2023 ,CWT mmetisha na mtabaki kuwa kileleni.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom