lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #81
Uje nikuoe tu wewe hizo shida zako ziishe then nakufungulia bzness u run achana na mambo ya kuajiliwa binti,ni pm nikuelekeze namna ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza midoli.bzness plan,financing market zote ntakusaidia,ila tu ukubali uwe wangu
Hahahaaaaaaaa! Leo nivokuwa HIGH!!!! Usinipimie kabisaaaaa! Waweza shangaa watu kwanini wavuta bange, ila yakikukuta unaagizia MISUBA MIWILI fasta ya kupunguza mawazo!