lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #41
Asilimia kubwa ya maboss huwa wanakuwa na roho mbaya sana...ili aonekane kafanya kazi basi ni mwendo wa kukandamiza wengine wa chini yake...halafu usiombe uwe unafanya kazi kwenye haya makampuni ya wageni halafu boss ndio bandiduu, ole wako uchelewe hata dakika moja na sababu yako iwe ni traffic jam, mbona kitakushukaaa
Yaani UMEJUAJEEEE!!!!! Can you imagine SOME BODY IS DESTROYING YOUR LIVES JST BECAUSE HE CAN!!!!!!!!!!! F*UCK!!!!!!!!! DAWA YAO HAWA MBURULA NI KUWATOA MASHIPA TUUUUU!!!!!!!!!! LASIVO TUTAKUFA TWAJIONA!!!!!!!!!!