Nimechoka kuwa alone

Nimechoka kuwa alone

Utani wekeni kando

Huu ni mwaka wa kumi na tatu;

Nalala alone , nimechoka;

Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.

Umri miaka 49 na kuendelea.


umefanikiwa Mamndenyi ?

humu jf sidhani km kweli kuna watu wanafanikiwaga humu........
 
Last edited by a moderator:
hauogopi chenye ncha kali weeee!!!
Weewee!!, nani anipige na kitu chenye ncha kali mimi!!????, wamenishindwa watu, mimi aniweze nani labda wayatume mashetani.
Na kwa taarifa yenu, I have started to get ideas about Avelyn Salt, ​ nione mtu analeta za kuleta..
 
Weewee!!, nani anipige na kitu chenye ncha kali mimi!!????, wamenishindwa watu, mimi aniweze nani labda wayatume mashetani.
Na kwa taarifa yenu, I have started to get ideas about Avelyn Salt, ​ nione mtu analeta za kuleta..
Haya lakini nimesema tu.
 
Sijui namie nibahatishe kete zangu hapa!
Btw sijajiamini kama ninakidhi vigezo .
 
Waswahili tuna msemo "ukitaka kula nguruwe usiseme naonja, tafuta aliyenona". Nikimaanisha hapo kwenye "49 na kuendelea".

hahah naona umejitahidi kubadilisha maneno.... Waislam ndio husema hivyo ukitaka kula haramu basi kula Haramu iliyonona....
 
hahah naona umejitahidi kubadilisha maneno.... Waislam ndio husema hivyo ukitaka kula haramu basi kula Haramu iliyonona....

Kumbe kuna misemo ya hata kikristo pia.
 
Wallah nitapenda kuhudhuria hii harusi ya Mamndenyi. Sijui rangi atachagua ya kijani na njano.
 
Marafiki, Ndugu, na wote mlioshiriki hapa kwenye huu uzi, Siwezi kuwasahau wote waliopiga magoti kuliitia jina la Mungu kwa ajili yangu; Nashangaa upendo uliyopo hapa jukwaani.

Ninayo heshima kubwa sana kwenu, kuwajulisha kuwa nimeshampata anipendaye.

Naamini tutawaalika kwenye pati ambayo iko kwenye maandalizi.


Asanteni sana wote, .......... Tunawapenda sana;

................. Jf iko juu hadi inatisha...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom