Mary Beatus
Member
- Feb 23, 2014
- 11
- 6
Umeshampata mbona!
Mamndenyiukija kumaliza huko utanikuta nimeshaolewa. Uje na mke mwingine.
Topic closed
hata mimi nimechoka kulala peke yangu nakuogopa usiku wa manane.nimechoka kuishi alone kama mwanga.sitaki tena kwa kweli
Upo tayari kuwa mke wa kumi wa Kamanda Kazi?!
Kaka Excel, najitahidi sana na Mungu anisaidie. Sema majaribu nayo mengi. hawa nyumba ndogo hawapendi kuona wenzao tumetulia, kutwa kucha wanatafuta waume waliotulia kwenye nyumba zao, eti wanasema tunabanana hapa hapa. Nimegundua siri kubwa ni kumuombea huyu mahahuba wangu!