around 40something.......but i think am out of your specification...may god be with you in this moment so that to help you on finding the good one who will satisfy your soul
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Yap ya kikristo husemwa Mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kuliaKumbe kuna misemo ya hata kikristo pia.
Weewee!!, nani anipige na kitu chenye ncha kali mimi!!????, wamenishindwa watu, mimi aniweze nani labda wayatume mashetani.
Na kwa taarifa yenu, I have started to get ideas about Avelyn Salt, ​ nione mtu analeta za kuleta..
Ila mkuu wewe hujatimiza vigezo vya kuwa baba mkwe esp. hapo kwenye umri
Siye WaArabu huozesha na kuozeshwa mapema sana (early age) kimila ni kawaida mtu kijana akawa hata ana wajukuu!!Ila mkuu wewe hujatimiza vigezo vya kuwa baba mkwe esp. hapo kwenye umri
Siye WaArabu huozesha na kuozeshwa mapema sana (early age) kimila ni kawaida mtu kijana akawa hata ana wajukuu!!
natoa tuzo la uChampion !!thubutu hapo kwa Mamndenyi uone moto wake
Mamndeny umeona enh!!!!!!!!!!!!Miaka 13??? Haijaziba?
Kila la kheri mwaego. Ukimkosa usijali, babu niko tayari kukufanya nyumba ndogo. Na hii miaka yangu sitini na ushee, najihisi bado nina nguvu.
Haya weka picha yako tafazali.
Mamndeny umeona enh!!!!!!!!!!!!
wezi ndo kama hawaaaaaa, wanadhan utastaafu ili wajiliepo mafao yako kimbia kaa umekosa kugongwa na treni.
mie nakutaklia kila la heri utampata tu..............uniite mwaya nije kula mahari manake kichaga hata ukiolewa mzee lazima mahari ilipwe na watu tule na kunywa. na harusi ipite baharini