Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
komaa mkuu unaweza ukalelewa bana! teh..
btw, siku hizi umekuwa scarce sana bana! niaje ww?
MKuu huwa mnaswampa wote??!! Maana hapa umeingia ndani sana eti!sema umechoka kuswampa
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
WAKABAMBEE
nafasi bado ipo wazi
Usisahau kutupa mrejesho (feedback) whether positive or negative, maana wengine kazi yetu ni kuomba na kuomba ili mwisho wa siku usiwe mmoja kama ulivyo sasa, na ukifanikiwa hakika itampendeza sana Mungu kama kweli una wito huo hasa kutoka kwake.
Ok;
Bila shaka nitarudi kusema
Usiwe na wasiwasi;
Jitahidi kuomba bila kukoma ili niyaone matendo makuu ya Mungu wa Elyer
Mamdenyi una miaka mingapi? Na kwanini umezama kwenye umri zaidi?