Nimechoka kuwa alone

Nimechoka kuwa alone

Imani inaruhusu mke wa Tatu!Uko tayari Mamdenyi
 
Last edited by a moderator:
Pole, maana miaka 13 bado michache. Mi nina zaidi ya miaka 13 na bado niko lonely. ni PM

Nyie wanaume wa siku hizi mkoje??
mie nlipendq ulivyoanza we ungeenda tu pm siyo mpaka akupm.
 
Utani wekeni kando

Huu ni mwaka wa kumi na tatu;

Nalala alone , nimechoka

Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.

Umri miaka 49 na kuendelea.

........................ Mume wa mtu HAPANA



;...Nlijua wewe mke wa mtu bana...mamndenyi unaniangusha
 
Utani wekeni kando

Huu ni mwaka wa kumi na tatu;

Nalala alone , nimechoka;

Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.

Umri miaka 49 na kuendelea.

........................ Mume wa mtu HAPANA




Tupa email au cm yako ndugu . . . Duhi pole xana ngoja nikupe kampan huto lala pekeako tena
 
hata mimi nimechoka kulala peke yangu nakuogopa usiku wa manane.nimechoka kuishi alone kama mwanga.sitaki tena kwa kweli
Kwa hiyo unatafuta mlinzi..??? No wonder ndoa za siku hizi zinavunjika kirahisi sana. Madhumuni ya kuoa/kuolewa yamekuwa tofauti na ndoa inavyotaka
 
watu wengine wanga sana kapotolo futa kauli Chama hawezi kumtosa Mamndenyi hata siku moja; bado nipo kwenye tambiko la msiba wa chifu!
 
Last edited by a moderator:
By the way we nimethibitisha sio mwanachama hai was chama cha majani maana matendo yaliyopo kwenye siasa wasingekuacha miaka yote 13! Walah tena na ukimwi ungekuwa umeshaambukizwa.
 
miaka 30 sipewi nafasi jamani?maana nasikia ngombe hazeeki maini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom