Nimechoka kuwa alone

Nimechoka kuwa alone

yap nishaamua hivo silali tena peke yangu bana maisha ni haya haya

Long time I have been waiting for this statement from Smile. Naanza kumuwinda rasmi, coz now keshaamua kutolala pekeake
 
^^
Kwa wewe utampata upesi.. Kila la kheri
^^

Mkuu Himidini habari yako, unadhani kwa nini yenye Mamndenyi atampata huyo mwenza wake upesi mkuu. Any way all the best to her, maana imeandikwa "Apataye mke apata apata kitu chema naye apata kibali kwa Bwana" naamini vice versa is also true kwa yule apataye mume.

Aidha pia imeandikwa ni heri kuwa wawili kuliko mmoja.....................
 
all the best mkuu, piece of advice " Then the LORD God said, "It is not good for the man to be alone; I will make him a helper suitable for him" Genesis 2:18 , and do not forget about this "neither was man created for woman, but woman for man" 1 Corinthians 11:9
 
Wuuuh! Mama shikamoo!!

Samahani kama ntakuwa nimekuudhi!

Mi nimekusalimia tu!

Utani wekeni kando

Huu ni mwaka wa kumi na tatu;

Nalala alone , nimechoka;

Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.

Umri miaka 49 na kuendelea.
 
Mamndenyi si nilikuomba uje uwe mama paroko au umenitolea nje??
 
Last edited by a moderator:
Excel, sorry, kama nitakuwa nimeenda mbele zaidi ya swali. Mimi nina mume tayari, na mume mwema kwa kweli, so usijali hayo mengine yangu.je?

hongera sana royna kwa kumpata excel mwenye sifa njema namna hiyo! mpende basi kwa moyo wako wote! maana umesema ni mwema sana kwako!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom