Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Kila la Heri.Mungu akutangulie.
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Umeambiwa utani weka pembeniMiaka 13??? Haijaziba?
Kila la kheri mwaego. Ukimkosa usijali, babu niko tayari kukufanya nyumba ndogo. Na hii miaka yangu sitini na ushee, najihisi bado nina nguvu.
Haya weka picha yako tafazali.
hongera sana royna kwa kumpata excel mwenye sifa njema namna hiyo! mpende basi kwa moyo wako wote! maana umesema ni mwema sana kwako!
hata mimi nimechoka kulala peke yangu nakuogopa usiku wa manane.nimechoka kuishi alone kama mwanga.sitaki tena kwa kweli
sema umechoka kuswampaUtani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Kaka Excel, najitahidi sana na Mungu anisaidie. Sema majaribu nayo mengi. hawa nyumba ndogo hawapendi kuona wenzao tumetulia, kutwa kucha wanatafuta waume waliotulia kwenye nyumba zao, eti wanasema tunabanana hapa hapa. Nimegundua siri kubwa ni kumuombea huyu mahahuba wangu!
jitahidi kufanya hivyo wangu.. unajua wanaume hatujakamilika sana na ni rahisi sana kushawishiwa na ninyi wanawake..
sometimes uwe unafanya general inspection bana!! au unaogopa kushika thimu??
Isije kuwa wanaume wanahofia kwa Jina lako limefanana na Mama Madeni..... Home kutwa nzima wanakuja watu kudai madeni yao uliyowakopa...Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
WAKABAMBEE
nafasi bado ipo wazi
Mkuu Himidini habari yako, unadhani kwa nini yenye Mamndenyi atampata huyo mwenza wake upesi mkuu. Any way all the best to her, maana imeandikwa "Apataye mke apata apata kitu chema naye apata kibali kwa Bwana" naamini vice versa is also true kwa yule apataye mume.
Aidha pia imeandikwa ni heri kuwa wawili kuliko mmoja.....................