Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Acha ulimbukeni na uzwazwa. Mbona ukiwachapia wenzako hutwambiii?
 
Mkuu em imagine ilikua ikichomoka wife anairudisha ndani chap yani we imagine tuu.
Tena humsifia sana Mchepuko kwa kejeli "ulikuwa wapi siku zote kunilomba kisawa sawa kwa M.B.O tamu namna hii? yule fal* na kiba100 chake hunichukuliaje kunipakaza mijasho yake kila siku?"

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Mkuu b4 making hard decision.

Ebu jaribu kuangalia mtoto mtamuathiri kiasi gani baada ya kuachana,coz kama yuko chekechea bado sana ana itaji malezi ya wazazi wawili.

Ushauri.
1,Hili tukio kama ni mara ya kwanza toka muwe kwenye ndoa msamehe,then anza kusoma tabia zake na mienedo.

2,Washilikishe wazazi wenu pande zote mbili ili upate mawazo na ushauli,but ni aibu.na fedheha.

3,Endelea kumuonesha ushilikiano kama ni mzazi mwenzio ili kisudi kujenga kisaikolojia asije fanya maamuzi mabaya kama ya kuji ua au kunywa sumu,coz ni tukio la aibu.

4,Kuhusu tendo la ndoa apo sasa ni changamoto,coz lazma huna uaminifu tena.

Hii situations ni painful sana,but pole mkuu kwa majaribu ya ndoa.
 
Pale Msela anapotoa ushauri kwa Mume wa Mtu...🤭
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 


Dogo aisee, una mtoto mmoja, shukuru sana na uondoke, wala usijiulize mara mbili, mwaka 2010 wakati Nina miaka 40 wife alitoka kwenye ndoa, nikasamehe, miaka 7 baadae anatoka Tena na mtu yule yule na wengine wa 4 Tena, nikajuta sana kwa Nini sikumuacha, ondoka!
 
Nina mke wa mtu ananisumbua hap ni mshone mumeo ni injinia wa trc anasimamia sgr muda mwingi yuko nje kikaz dad'a ana nyege za kisenge snaa tumepanga kwa aprtmemt moja Hapa bas hata alfajiri anatak aje nimep kimoja nimekatomba mara mbili ila naona kbsa Hapn anaitangenezea majanga
 
Tatizo ulioa mke wa mtu
Mwanamke ambaye hujamtoa bikra huyo sio mke wako mzee
Sisi wazaz wenu tukiwaambia ukweli mnatuona wabaya
Pambaneni na hali zenu sasa vijana wa ovyo
Hao wenye bikra utawakuta wapi ndugu? Sie wengine mitungi ndio inatuokoa tunapunguza muda wa kuwa jirani nao na kuweza kuwapekua.... Ila kiuhalisia wanawake wengi walio kwenye ndoa wanaliwa sana. Wengine wanajifanya wanasali sana kumbe ni hadaa tuu... Hao ndio wanaliwa kichizi... Hapo ni kuomba Mungu usijue tu....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…