Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

Mwanamkee mwenzangu umelikoroga mwenyewe!haya limume lishanuna!aya kwan yy hakuwah kukukwanza ukamsamehe?hebu jaribu kujinyenyekesha tu uombe msamaha maana umeshamchefua kwa kumuonesha kuwa ww si mwaminifu!!
 
mimi nionavyo wewe ndo mwenye makosa maana hata maelezo yako hayajitoshelezi kwa sababu kuna vitu huwezi kuviweka wazi kwa Great thinkers hapa unaona aibu tutakurushia mawe we jaribu kuweka wazi tuone jinsi ya kukushauri note:huwezi kwenda hosp ukamficha daktari ugonjwa
 
why ur u date with other guys while u know u a still in relationship?? Tuanzie hapo kwanza kabla ya kukusaidia..
 
Sijaelewa mchumba wako alisikia kila kitu inamaana na yeye alikua hiyo sehemu mliyokutana.
Funguka zaidi

Huyu alifumaniwa! Tamaa mbele, mauti nyuma. Tamaa zilimponza fisi. Dada yangu we tulia tu, ukubali hali. Ukicheza rafu, refa akaona, kubali kadi nyekundu na penati.
 
duuuu pole dada ndo ukome kuhangaika ridhika na mpnz wako ona ss umekitia kitumbua chako mchanga, then nikuulze ww upo ktk mahusiano then unatka ukaonane na mwanume mwngne tena private unategemea hata mumeo angekukuta angekuelewa??????? Hope umejifunza na hata mm nimejifunza jambooo
 
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,

nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.

Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.

Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.

Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?

Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.

Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.

Naomba msaada wa mawazo.

Kwani aliwarecord mkiwa chumba namba ngapi?
 
Jf kuna watu wambea jaman,et
"We sema tu kama jamaa alikugegeda" mara "wee jamaaako alikurecord kwa kutumia nn"
Hahajaja wewe dada n bomu tuuu jamaako unae yann kuweka shobo kwa strangers?
Ukute n trick yake mwanyewe amemset mtu ili ajue strength yako iko vip na alipobain n Zuzu akaona hapa hakuna kitu sku yyte ya atokea kama ya mbagala ma Gmboto,hujui n nn nnamaanisha!!!!?
Mabomu kulipukaa
 
ahaaaa wadada wanapenda kutest na kudangwanywa,,hata akiambiwa naingiza kichwa tu wanadanganyika wanafikiri ina mabega ile kitu,,
 
You dont love someone because he/she is perfect, u love them inspite of the fact they are not, i believe you boyfriend ana insecurity issues so mpe muda, if he truly loves u atakusamehe!
 
Angalia thread zako zina walenga watu wenye uelewa kias gan....unavosema aliwarecord ina maana kuna tukio la siri hukuhitaj alifaham na bila shaka ni usaliti ulio kuwa ukiufanya ama ukiupanga.......acha usalit wakat haujajipanga kukabiliana na hari..... jipange kumbembeleza akusamehe then badilika hujazaliwa kwa ajili ya usaliti
 
Wewe usije ukajiua tu!
Calm down, give him time. Endelea kumuomba msamaha na kumuelewesha. Akikataa basi, maisha huendelea, utapata mwingine zaidi yake or maybe you won't.
Whatever happens just be strong. Ila ndio ujifunze kuwa muaminifu au/na makini 🙄
Pole.
 
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!

Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......

Ubabe sometimes ndio unaotusumbua huenda hakuna lolote na wala hajapoteza imani na bibie ni mkwara tu.
 
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!

Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......

hmm! ni niliambiwa wanawake huwa wanasamehe mdomoni ila moyoni wana vinyongo na kisasi. sijui kama kuna ukweli
 
Hilo libaki kuwa fundisho kwako na wengine wasioheshimu jozi (Pair). ukimpata mwingine usijaribu tena kugawa kijaruba chako ovyo.
 
Sisi wanawake bwana!! Huwaga tunakurupuka kufanya mambo bila kufikiria consequences then we start crying.

I wouldnt wanna be in her shoes.

Tatizo lenu wengi mnapenda kupendwa, mnapenda kusikia na kufurahia nyimbo tamu, mnafurahia kudekeshwa kama watoto. Nilikuwa naongea na dada mmoja rafiki yangu. Ananiambia hapendi kutongozwa, akitongozwa anajihisi kuishiwa nguvu; na kwamba mwanaume akimpenda anamuonea huruma na ana-feel am-please! Yaani ujinga mtupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom