Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,

nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.

Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.

Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.

Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?

Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.

Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.

Naomba msaada wa mawazo.

Ndoa yenu ilivunjika lini? tarehe 9 dec 2013 ulianzisha thread ambayo unamtafutia mumeo dawa ya kuongeza nyege, leo unadai una mchumba, ndoa imevunjika lini?

Nauliza ni dawa ipi nitakayompa mume wangu au chakula kipi nimpe ili apate nyege za haraka.awe fit kitandani
 
Eeee pole wee, umempenda sana umezaliwa naye huyo au mmekutana kimjinimjii na meno 32+minywele kila kona?? cha kukuliza saana na kumtumia mpk mamayo aongee aye ni kipi haswa au wewe na mamayo mnashea hilo dushelele!!! Mwanamke kujiamini bibie hata kama sura kama remy ongala ila jiamini na simamia ukweli wa jambo. Akikuchukia yeye akakupenda Mungu mbona inatoshaa!!! JAMANI EEE MI UKINIONA WA NINI NAKUONA WE WAKAZI GANI.
 
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!.......
it may be all men but not me.

Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
tatizo wanawake wakishaamua hawasikilizi mtu wala ushauri wowote mpaka watakapokuta mambo ndivyo sivyo ndio wanakuja kuomba msamaha na wakuwaga na jeuri sana wanapoamua kumwacha mwanaume na ndio mana wanaume wengi wanakuwa wagumu sana kusamehe pale wanapokumbuka jeuri na dharau walizofanyiwa alafu leo eti watoe msamaha kirahisi tu,inakuwa ngumu sana,japo mimi sina neno kabisa
 
Ukiona anaendelea kunata we mpotezee,huenda alikuwa anatafuta sababu ya kukuacha,hawa wanaume sio wa kuwapa moyo wako asilimia 100%

Mpe 1%,wewe baki na 99%,that will be much safer for you.

Upuuzi kabisa kumpa binadamu mwenzako 100% ya moyo wako.....

Ukitemwa unaanza kulalama, kwanza mimi naona the guy has insecurity issues. Labda kama bibie anaficha kitu, labbda kama hayo mazungumzo yalikuwa na maana ya kumkubalia, labda kama aligegedwa, otherwise hiwezi ku overreact kisa watu wameongea, usimfunge mtu kuwa na maongezi na wengine, after all mwanamke kutongozwa sunna!!!!!
 
Hata kama alitongozwa huko fursa ziko wazi... kajipa chance ya kwenda kusikiliza kama huko kwingine panalipa zaidi au la. Pengine baada ya kusikiliza mapigo mapya akaona hamna kitu bora mkaka yule wa mwanzo. Fair game tu afterall maana sio mke na mume hao, bado kila mmoja ana nafasi ya ku keep looking. Una uhakika gani huyo mwanaume hana demu mwingine. Jamaa amsamehe mbona sie wanawake tunasamehe sana. Dada omba msamaha wa dhati halafu give him time to think and decide. If u were that worth it to him atakusamehe. Otherwise it was neve meant to be usikonde ndo ukubwa!

Exactly.......
Hao sio mume na mke, everyone has the right to meet other people, have mere conversations. Ili mradi hawagegedani..
 
Upuuzi kabisa kumpa binadamu mwenzako 100% ya moyo wako.....

Ukitemwa unaanza kulalama, kwanza mimi naona the guy has insecurity issues. Labda kama bibie anaficha kitu, labbda kama hayo mazungumzo yalikuwa na maana ya kumkubalia, labda kama aligegedwa, otherwise hiwezi ku overreact kisa watu wameongea, usimfunge mtu kuwa na maongezi na wengine, after all mwanamke kutongozwa sunna!!!!!

Nipe tano:thumbup:
 
Hebu acha uongo umechanganyikiwa wapi wakati umeweza kuja na kuandika thread.

Kuchanganyikiwa unakusikia nini hukujui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom