Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

mm ni mdada ambaye nimepata matatizo naomba msaada wa mawazo.nilikuwa na mpenz wangu kwakwel alinipenda sana.kila nikichohitaj amenisaidia.wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mm.nikaamua kukubal kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu.kaniacha hatak kabisa kunisamehe kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gan anisamehe?had mama yangu kaniombea msamaha lkn mchumba wangu kakataa.nifanyeje jaman nimechanganyikiwa

sema ukweli tukusaidie. nielezee vzuri km ilikuwa kuonana tu au kuna kingine kilikuwa kinahusika.
 
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!

Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......

huwa tunaumia sana aisee ukihis umechapiwa, unakata tamaa kabisa. mwili unatetemeka. nakumbuka ilinitokea nlipata hasira sana, asb nilirudisha bastola na ndo ukawa mwisho wa kuipenda ile kitu coz nliona ndo wakat muafaka wa kuitumia but baadae nkapoa nkaona no need.
 
Mleta mada, jibu kwanza maswali ya wadau hapo juu, kuna kitu unaficha.Hebu funguka.
 
bahat nzuri ckwenda simu yangu iliisha chaji nikarud nyumban
 
Kilichobaki komaa na huyo uliyeenda kuonana naye ili achukue nafasi iliyoachwa na mchumba 'ako....
 
Kilichobaki komaa na huyo uliyeenda kuonana naye ili achukue nafasi iliyoachwa na mchumba 'ako....

Subutu. Unafikiri huyo mkaka atamtaka tena? Kuna wanaume wanakuonaga wa maana tu ukiwa kwenye uhusiano.
 
Kama hukuwa na nia mbaya kwanini hukumwambia muongozane jambo ambalo lingesaidia kumkatisha tamaa huyo uliye mbatiza jina la aliyekuwa anakusumbua ? Hivi kweli unajipeleka kwa jamaa ambaye anakusmbua kila siku unatarajia nini? Kwa hoja hizi unafikiri mchumba wako atakuwa na imani na wewe tena? Any way you still have a room endelea kumuomba msamaha mchumba wako hasira zake zikipoa atakusikiliza
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
Inaonekana wewe ni msaliti kama ZZK. Wewe na hilo jamaa lako jipya mtakuwa mlienda kugegedana maana mazungumzo yote mlishayamaliza kwenye simu. Sasa unavuna ulichopanda.
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman


Pole sana......calm down mamie hayo mazungumzo aloyarecord mlikua mnazungumzia nn haswa?inaonekana kakutongoza na ukamkubali ndio maana kaapa kutokusamehe.......pole ndio ushampoteza huyo kubaliana na matokeo
 
Jamani huyu mdada ni mtata. Kasema jamaa kamtolea mbali kwa sababu 'amesikia kila kitu'. Kwa hiyo kwanza kakukuta nae na pili kasikia kila kitu. Haya tuambie, alisikia nini cha kumuudhi kiasi hicho? Pili ilikuwaje hiyo apoointment yenu ikavuja mpaka naye akawepo mahali hapo pa kukutania? Nani anauhujumu huo uhusiano wenu? Nani ulidiscuss naye kuhusu hiyo apoointment? Inaonekana uliwaambia shoga zako nao wakamwambia jamaa kuwa wewe sio mwaminifu. Kuna scenario nyingi ambazo hazina majibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom