DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
Huyu kuna jambo kubwa anaficha ambalo ndo kiini haswa cha tatizo.
Mzigo uliliwa nadhani.
Huyu kuna jambo kubwa anaficha ambalo ndo kiini haswa cha tatizo.
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
kuonana tu ndugu hakuna kingine
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!
Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
kuonana tu ndugu hakuna kingine
bahat nzuri ckwenda simu yangu iliisha chaji nikarud nyumban
hivi we mdada hujui kujieleza? karecord mazungumzo yote kwa njia gani! elezea vizuri watu tuweze kukushauri!kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
Pole sana......calm down mamie hayo mazungumzo aloyarecord mlikua mnazungumzia nn haswa?inaonekana kakutongoza na ukamkubali ndio maana kaapa kutokusamehe.......pole ndio ushampoteza huyo kubaliana na matokeo
Wewe kama unaomba msaada usiletete story zako short short hapa...unatupotezea muda!! Kuongea tu kwa simu hawezi boy wako kuwa mkali hivyo asikusamehe!! Waaonekana we ni damper...ushagongwa pengine...otherwise ongea ukweli wako sio sentensi fupifupi halafu si tukupe ushauri. Senzzzzy sana hii!!kuonana tu ndugu hakuna kingine
Mkuu mbona unakurupuka na povu...hembu msome vizuri....!!Kuonana na ndugu ndo upigwe chini halafu mbona mwanzo kwenye thread hujasema ni ndugu umesema kuna mkaka alikuwa anakusumbua na sio binamu, mjomba au kaka yangu?, hii story inaleta walakini.
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
Wewe sema umegegedwa ukafumwa ndo maana hataki kukusamehe nyie watoto wa siku hizi hamriziki hata mpewe nini jamani, huyo ulimfata wa nni kama ulijua unae bwana upendae? Na je Uliwahi mwambia bwana yako kuhusu huyo jamaa anavyo kusumbua? Hata kama ninge kuwa mimi siwezi samehe upuuzi kama huo!
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman