Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

Eti mchumba hapokei simu nayo inaitwa 'tatizo'. kweli nafurahia uzee wangu. Huyo dawa yake mpigie tena yule kaka ukamsikilize 'zaidi'

hebu achana na mwenye kununa huko na minuno yake kama mwanamke wa kizaramo. Huyo kaka mliongea nini? I mean alikuwa anasemaje?
#teamudaku
 
^^
Kuna wanaume huwa hatuendekezi mapenzi ya kuchangia, ukishajua hilo, nenda kaombe msamaha, usiposamehewa kamg'ang'anie huyo wa pili, ama sivyo mtaka yote hukosa yote
^^
 
Angetupa attachment ya hayo mazungumzo ndo ingekua vizuri zaidi tungejua walishamalizana au vp!?
 
But seriously, as a woman, nina mtu wangu. Huyo mwingine naenda kumsikiliza ili iweje? Who cares anataka kusema nini?

Common sense should apply.
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman

wew dada hujielewi kweli, kilichokutoa kwenu mguu kw mguu kwenda kutongozwa kitu gani kama si kutojielewa, nimefurahi yalivokukuta ayo, mana akili huna ushakua huriziki na m.mme mmoja umeamue ukajitongozeshe kw mwanaume mwengine....loh ukome ushakunaku kutaka marefu usoyafikia
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman

acha kudanganya watu wazma alaaa!..... Sema kaona kila kitu mpaka ulivyogegedwa. Mtu mwenye akili zake hawezi kuapa kutokukusamehe kama mazungumzo yalikuwa ya kawaida. Ww tayar umeshavuliwa vyupi unaanza oooh kanirekodi, nyau ww
 
Hahahaaaaa mapenzi haya.....

sa we huyo mkaka ulienda kumsikiliza nini mlishindwa kusikilizana kwenye simu kweli!!!!!!

kuna mtu aliwahi kuniambia "Choices have consequences" sasa ndio hizo consequence waziface now

nenda nae taratibu tu though inauma kama hivyo ila anaweza kuja kukuelewa...........
Ahaaaaa kwamaana sasa anatumikia ghalama ya ku cheat yeye kwanini uende kumsikiliza while ana mchumba inamaana alikuwa bado ana searching
 
Kama alisikia kila kitu basi alisikia zaidi ya hiki ulicholeta hapa, maana unachieleza hakitoshi yy kukumwaga kihivyo. Ukitaka ushauri ww msaada sema ukweli.Ficha maradhi kifo kikuumbue
 
Pole sana......calm down mamie hayo mazungumzo aloyarecord mlikua mnazungumzia nn haswa?inaonekana kakutongoza na ukamkubali ndio maana kaapa kutokusamehe.......pole ndio ushampoteza huyo kubaliana na matokeo

Sisi wanawake bwana!! Huwaga tunakurupuka kufanya mambo bila kufikiria consequences then we start crying.

I wouldnt wanna be in her shoes.
 
Hah, nimepata wazo, inawezekana yy ni member humu, sasa umeleta uongo unaotaka auamini ili akisoma hapa ajue ulimaanisha. Sidhani kama na yy ni mjinga kiasi hicho
 
huwa tunaumia sana aisee ukihis umechapiwa, unakata tamaa kabisa. mwili unatetemeka. nakumbuka ilinitokea nlipata hasira sana, asb nilirudisha bastola na ndo ukawa mwisho wa kuipenda ile kitu coz nliona ndo wakat muafaka wa kuitumia but baadae nkapoa nkaona no need.

asikwambie mtu aisee hiki kitendo kinaumiza sana. Hata mm nilijuliza maswali mengi sana huku mwili mzma unatetemeka jasho linatoka mwili mzima ile roho ya kutaka kuua ikanijia gafla,
 
wew dada hujielewi kweli,
kilichokutoa kwenu mguu kw mguu kwenda kutongozwa kitu gani kama si
kutojielewa, nimefurahi yalivokukuta ayo, mana akili huna ushakua
huriziki na m.mme mmoja umeamue ukajitongozeshe kw mwanaume
mwengine....loh ukome ushakunaku kutaka marefu usoyafikia

jaman ndo kumshushua tena msaidieni hapo alipo kashashushuka inatosha loh!
 
kuonana tu ndugu hakuna kingine
 
we dada hee! komaa na uliemfuata cm ikazima ukarudi.kwan jamaa kaepusha msongamano inaonesha mazungumzo yalikuwa na ushahidi wakutosha wa kuvuliwa ch...! pia sio mara ya 1 kachoka.docta jisimamie usirudi nyuma kuuchukua UKIMWI.
 
Madada wa siku hizi huwa mnakera sana,kwa kuingia katika mahusiano pasipo kutambua thamani ya mahusiano hayo.
Mapenzi yanapaswa kulindwa kama mboni ya jicho kujengewa uaminifu.
Umefanya makosa makubwa kwa uzembe wako wa kutofikiri:
1.Kama ulikwishaifahamu dhamira ya huyo jamaa anayekupigia simu,ni kwanini unapokea call zake?
~It seems bado unafanya selection ya wapenzi.
2.Pia,kilichokusukuma uende ni kipi?Endapo umeshajua anachokuitia.
~Je ukibakwa huko?
~Je mpenzi wako akikuona atakuelewaje?
3.Umeshapata akupendae,ni kipi kinachokufanya uendelee kusumbuka na wengne?
~Yaelekea hujaridhka na uliyenae na wewe ni msiri sana kwa mpenzi wako.
Ulitakiwa utafakari haya kwanza kabla ya kufanya uliyoyafanya.
WANAUME WENZANGU,WADADA WA SIKU HIZI wengi wao ni walaghai,tutoapo pesa ama tuingiapo gharama kwa ajili yao,tufanye tu kama tunatoa sadaka.
Na siwaelewi hawa viumbe wanatafuta nini katika mapenzi.
 
Madada wa siku hizi huwa mnakera sana,kwa kuingia katika mahusiano pasipo kutambua thamani ya mahusiano hayo.
Mapenzi yanapaswa kulindwa kama mboni ya jicho kujengewa uaminifu.
Umefanya makosa makubwa kwa uzembe wako wa kutofikiri:
1.Kama ulikwishaifahamu dhamira ya huyo jamaa anayekupigia simu,ni kwanini unapokea call zake?
~It seems bado unafanya selection ya wapenzi.
2.Pia,kilichokusukuma uende ni kipi?Endapo umeshajua anachokuitia.
~Je ukibakwa huko?
~Je mpenzi wako akikuona atakuelewaje?
3.Umeshapata akupendae,ni kipi kinachokufanya uendelee kusumbuka na wengne?
~Yaelekea hujaridhka na uliyenae na wewe ni msiri sana kwa mpenzi wako.
Ulitakiwa utafakari haya kwanza kabla ya kufanya uliyoyafanya.
WANAUME WENZANGU,WADADA WA SIKU HIZI wengi wao ni walaghai,tutoapo pesa ama tuingiapo gharama kwa ajili yao,tufanye tu kama tunatoa sadaka.
Na siwaelewi hawa viumbe wanatafuta nini katika mapenzi.

like like like
 
Hata mimi mchumba wangu aling'atwa kwa style hii,nikamtema! Sisi wanaume wajanja sana tuna mbinu tofautitofauti ili tuweze kuwanasa tu hawa viumbe vya kike kwa sababu tushajua udhaifu wao! Unajipeleka mwenyewe kwenye mzinga wa nyuki acha wakutoe manundu! Pole ndio ujifunze siku nyingine dada..
 
Hata ningekuwa mimi nisingekusamehe! We hadi unaenda kukutana na mtu usiyemjua manake ulipenda,na jamaa lazima amekuchezea malinda ndo mana mtu wako amekutosa 7bu unaonyesha una tamaa sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom