Nimeaza kuandika vitabu, Nahitaji msaada zaidi

Ahmet

JF-Expert Member
Oct 15, 2019
1,537
3,404
Salamu wapendwa

Katika kitu ambacho nilikuwa natamani basi ni kuwa na kitabu changu (Ni passion yangu). Nime-plan kuandika vitabu kadhaa Kama reference kwa wanafunzi.
Basi Kwenye hii likizo nilianza kuandika kitabu kimoja, ni ngumu lakini naona inawezekana.

Nimepanga kuandika vitabu sita panapo majaaliwa. Ingawa vitabu hivyo ni too general (havita fuata mtaala) lakini naamini vitawasadia wanafunzi kujifunza kwani materials yake yatakuwa ni zaidi ya mtaala wa somo husika.

Nimepanga kuandika vitabu vifuatavyo;
1. Kitabu cha Geomorphology, (Infact hiki ndio nimeanza nacho na sasa nipo kama page ya 50)
2. Climatology
3. Soil Science
4. Practical Geography
5. Human Geography
6. General Psychology (hiki ni kwa ajiri ya jamii kwa ujumla, hakiwalengi sana wanafunzi ingawa nao wanaweza kukitumia kama reference).

Katika vitabu hivi nitafanya yafuatayo;
-Nataka kutumia picha, michoro na mifano halisi ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa.
-Lugha rahisi, tables na summarization.
-Wide coverage (yaani nitagusa kila aspect ya topic fulani).
-N.k.

Najua kuna changamoto katika kutimiza wazo langu hili, ndio maana nimeleta uzi huu. Hivyo naomba wadau wazoefu, waandishi nguli na wachapishaji wa humu JF wanijuze kuhusu mambo ya msingi ya kufanya kutimiza ndoto yangu hii.

Shukrani.
 
Salamu wapendwa

Katika kitu ambacho nilikuwa natamani basi ni kuwa na kitabu changu (Ni passion yangu). Nime-plan kuandika vitabu kadhaa Kama reference kwa wanafunzi.
Basi Kwenye hii likizo nilianza kuandika kitabu kimoja, ni ngumu lakini naona inawezekana.

Nimepanga kuandika vitabu sita panapo majaaliwa. Ingawa vitabu hivyo ni too general (havita fuata mtaala) lakini naamini vitawasadia wanafunzi kujifunza kwani materials yake yatakuwa ni zaidi ya mtaala wa somo husika.

Nimepanga kuandika vitabu vifuatavyo
1. Kitabu cha Geomorphology, (Infact hiki ndio nimeanza nacho na sasa nipo kama page ya 50)
2. Climatology
3. Soil Science
4. Practical Geography
5. Human Geography
6. General Psychology (hiki ni kwa ajiri ya jamii kwa ujumla, hakiwalengi sana wanafunzi ingawa nao wanaweza kukitumia kama reference).
Katika vitabu hivi nitafanya yafuatayo;
-Nataka kutumia picha, michoro na mifano halisi ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa,
-Lugha rahisi, tables na summarization,
-Wide coverage (yaani nitagusa kila aspect ya topic fulani)
-N.k.
Najua kuna changamoto katika kutimiza wazo langu hili, ndio maana nimeleta uzi huu. Hivyo naomba wadau wazoefu, waandishi nguli na wachapishaji wa humu JF wanijuze kuhusu mambo ya msingi ya kufanya kutimiza ndoto yangu hii.
Shukrani
Hongera mkuu.....endelea kupambana....tunapenda ulete rivarly competition kwa kina msabila vs zisti kamili
 
Wakuu nilichukua result slip ya forms six ila Vijana wa bodaboda wamepita na mkoba result ikiwa ndani naomba msaada kwa anaejua nianzie wapi
 
Umefikia wapi,tupe mrejesho
Nashukuru sana ufuatiliaji wako,

Mpaka sasa nimekamilisha vitabu viwili ambavyo ni Geomorphology na Climatology. Sasa nimeanza cha Practical Geography, then nije Soil Science na hatimae nimalizie Human Geography.
Naenda taratibu Kwa sababu kuandaa vitabu inahitaji utulivu na umakini ili kupata kitu kilicho bora
 
Nashukuru sana ufuatiliaji wako,

Mpaka sasa nimekamilisha vitabu viwili ambavyo ni Geomorphology na Climatology. Sasa nimeanza cha Practical Geography, then nije Soil Science na hatimae nimalizie Human Geography.
Naenda taratibu Kwa sababu kuandaa vitabu inahitaji utulivu na umakini ili kupata kitu kilicho bora

Bless. Tunaweza kuvipataje hivyo vilivyo tayari.
 
Bless. Tunaweza kuvipataje hivyo vilivyo tayari.
Screenshot_20240210-124406_1.jpg
Screenshot_20240210-124307_1.jpg
Screenshot_20240210-124428_1.jpg
Screenshot_20240210-124222_1.jpg
 
Hizo phamlets hapo juu zipo tayari, nimeprint kama pamphlet kwasababu sijapata sehemu nzuri ya kuprint kama kitabu. Ukihitaji nicheck Kwa 0728367208,
Niko Mbeya
 
Back
Top Bottom