Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
Salamu wapendwa
Katika kitu ambacho nilikuwa natamani basi ni kuwa na kitabu changu (Ni passion yangu). Nime-plan kuandika vitabu kadhaa Kama reference kwa wanafunzi.
Basi Kwenye hii likizo nilianza kuandika kitabu kimoja, ni ngumu lakini naona inawezekana.
Nimepanga kuandika vitabu sita panapo majaaliwa. Ingawa vitabu hivyo ni too general (havita fuata mtaala) lakini naamini vitawasadia wanafunzi kujifunza kwani materials yake yatakuwa ni zaidi ya mtaala wa somo husika.
Nimepanga kuandika vitabu vifuatavyo;
1. Kitabu cha Geomorphology, (Infact hiki ndio nimeanza nacho na sasa nipo kama page ya 50)
2. Climatology
3. Soil Science
4. Practical Geography
5. Human Geography
6. General Psychology (hiki ni kwa ajiri ya jamii kwa ujumla, hakiwalengi sana wanafunzi ingawa nao wanaweza kukitumia kama reference).
Katika vitabu hivi nitafanya yafuatayo;
-Nataka kutumia picha, michoro na mifano halisi ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa.
-Lugha rahisi, tables na summarization.
-Wide coverage (yaani nitagusa kila aspect ya topic fulani).
-N.k.
Najua kuna changamoto katika kutimiza wazo langu hili, ndio maana nimeleta uzi huu. Hivyo naomba wadau wazoefu, waandishi nguli na wachapishaji wa humu JF wanijuze kuhusu mambo ya msingi ya kufanya kutimiza ndoto yangu hii.
Shukrani.
Katika kitu ambacho nilikuwa natamani basi ni kuwa na kitabu changu (Ni passion yangu). Nime-plan kuandika vitabu kadhaa Kama reference kwa wanafunzi.
Basi Kwenye hii likizo nilianza kuandika kitabu kimoja, ni ngumu lakini naona inawezekana.
Nimepanga kuandika vitabu sita panapo majaaliwa. Ingawa vitabu hivyo ni too general (havita fuata mtaala) lakini naamini vitawasadia wanafunzi kujifunza kwani materials yake yatakuwa ni zaidi ya mtaala wa somo husika.
Nimepanga kuandika vitabu vifuatavyo;
1. Kitabu cha Geomorphology, (Infact hiki ndio nimeanza nacho na sasa nipo kama page ya 50)
2. Climatology
3. Soil Science
4. Practical Geography
5. Human Geography
6. General Psychology (hiki ni kwa ajiri ya jamii kwa ujumla, hakiwalengi sana wanafunzi ingawa nao wanaweza kukitumia kama reference).
Katika vitabu hivi nitafanya yafuatayo;
-Nataka kutumia picha, michoro na mifano halisi ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa.
-Lugha rahisi, tables na summarization.
-Wide coverage (yaani nitagusa kila aspect ya topic fulani).
-N.k.
Najua kuna changamoto katika kutimiza wazo langu hili, ndio maana nimeleta uzi huu. Hivyo naomba wadau wazoefu, waandishi nguli na wachapishaji wa humu JF wanijuze kuhusu mambo ya msingi ya kufanya kutimiza ndoto yangu hii.
Shukrani.