Nimeanza maisha mapya kama Vegan

hutoshiriki mapenzi? ina maana hutooa/kuolewa?
 
Mkuu hapo kwenye kutokusex naona kama hutendi haki ikiwa unashiriki kupanda miti kwa maana ya kuweka mwendelezo wa uhai/existance ya hivyo viumbe, meanwhile kusex ndo kunafanya mwendelezo wa uwepo wa binadam duniani.

Mwisho. Tukupe muda gani wa kutangazwa kuwa bilionea?! Make umechagua kujitenga na anasa zote za dunia, so obviously savings lazima iwe kubwa
 
Nimejitahid wee wapi zamn nilikua nakunywa had 3. Since corona ije nakunywa 1. Coca ya baridi ni kitu kingine jamani.
Hauna kitambi mkuu? Mara nyingi wanaokunywa sana soda wanatengeneza vitambi vya ajabu, manyama ya tumbo yale kushoto na kulia (love handle).

Mishikaki haina tatizo !

Ila soda acha kabisa Mkuu....kiwango cha sukari unachokiongeza sio vizuri, usiendekeze inawezekana, jali afya yako kama unavyojali kutafuta pesa ๐Ÿ˜‚
 
Nakutamania, maisha mazuri hayo ila usijinyime sana ukatenda dhambi..mie nisipokula nyama 3dys roho hua inataka kutoka!

Soda nisipokunywa Coca sifanyi kitu nakua zoba.

Hapa niko sehem nasubiria mishikaki kwanza.

All the best
Yaani nimesoma mishikaki tayari nimeshaitamani hiyo mishikaki yako[emoji3]
 
Bahati nzuri mie sinaga manyama uzembe...hayo malove handle mie sina...sema kakitambi kakuonesha katumbo kapo! Toka asbhbsijanywa coca..imebid niitafte nw akili itulie nataman kuacha sema sina substute...
 
Yaani nimesoma mishikaki tayari nimeshaitamani hiyo mishikaki yako[emoji3]
Hahhahahaa....! Muone..mishikaki jaman ni habar nyingine..nachomaga wknd uwiii naiwekea spices inakua laini..napika na ugali .hiyo huwa saa4 tu asbh....unashushia na wine..ah acha kbs
 
Hutaacha! Utakuwa unasogeza siku tu za kuanza rasmi, mpaka siku ya mwisho.

Mimi kuku wa kuchoma nimegundua sitaweza Acha kula hata vipi.
Kwa upande wangu sifahamu madhara ya kuku wa kuchoma,
Ila soda na juwa inachangia kupngeza uzito wa mwili sana , pamoja na sukari.

Naomba utupe experience kuna madhara yoyote unayapata ukila kuku wa kuchoma?
 
Mimi niache kula Kuku au mdudu alivo mtamu vile...
Hongera baba maisha ni kuchagua.
 
Kwa upande wangu sifahamu madhara ya kuku wa kuchoma,
Ila soda na juwa inachangia kupngeza uzito wa mwili sana , pamoja na sukari.

Naomba utupe experience kuna madhara yoyote unayapata ukila kuku wa kuchoma?
Mimi jamani soda kuongezea uzito mbona Sioni maana am constant kwenye uzito na mnywaji wa soda almost 3-5 per week but uzito wangu uko constant nikiongezeka labda ni ยฝkg tena after months but for four better years uzito wangu unarange tu vizuri na chips nakula sana tu...
Labda kwasababu ni mpenzi mno wa vegetables
 
Hahhahahaa....! Muone..mishikaki jaman ni habar nyingine..nachomaga wknd uwiii naiwekea spices inakua laini..napika na ugali .hiyo huwa saa4 tu asbh....unashushia na wine..ah acha kbs
Mate yamenijaa dada...na hii mvua ya Dar mishkaki na ugali wa motoooo na kikachumbari chako
 
Hapo kwenye sukari ya kiwandani- unaweza kutumia ASALI...

Punguza vyakula vya Wanga , kula zaidi protein..

Anza maisha ya mazoezi.. na utayazoea tu japo mwazo mgumu
 
Mkuu huwa unakula vyakula vya wanga kwa wingi , kama ugali, wali, mikate n.k?

Inawezekana upo kwenye blood group lisilo athiriwa sana na matumizi hayo ya sukari,

Maana wataalamu wa lishe huwa wanapendekeza aina za vyakula kutegemeana na blood group ya mtu!
 
Vegetables zinakubeba....mie nimeadd weight zaidi ya 20kgs...najiangalia tu nabak nasema nhiiii....wiki zima natumia public transport nasaga lami balaa nasweat balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ