Nimeanza kujifunza uchawi!!!

Nimeanza kujifunza uchawi!!!

We jifarague tukutupie jini Kisirani... Kulikuwa hakuna haja ya kujifunza shirk ungetafta mtu akusomee upate Maruhani! Yatakusaidia

Am feared by people and spirits!!!, so that jini taka taka, cant do nothing to a person of my calibre! I am a higher level of manifestation!
 
1. Una mpango wa kuchukua cheti, diploma, shahada au level ipi?
2. Baada ya kuhitimu una mpango wa kusaidia wengine?
3. Sifa za kujiunga kwa huyo mwalimu ni zipi?
4. Mtu anaweza kuchukua kozi fupi mfano ya urubani wa fastjet za usiku tu?
5.Utaratibu wa malipo upoje? Na ni malipo ya namna gani?
Ni haya tu kwa sasa.

1. Nataka PHD ila nataka ni specialize kwenye necromancy!

2. Just kuwa willing

3. Hakuna kozi fupi fupi!
4. Kuhusu malipo inategemeana unataka kujifunza uchawi wa aina ipi coz unajua kuna uchawi wa aina tofauti tofauti, kati yazo aina kuu zipo mbili Black Magick and White Magick. Kama unataka kujifunza black magic hapo the demons must be involved and u know the demons are not paid in terms of silver and gold, they are paid in terms of blood! So its up to you!
 
We jifarague tukutupie jini Kisirani... Kulikuwa hakuna haja ya kujifunza shirk ungetafta mtu akusomee upate Maruhani! Yatakusaidia

I bet we utakuwa umetoka jela hivi karibuni na utakuwa ulifungwa kati ya mwaka 1993 hadi 1996, kipindi hicho ndo hilo neno lilikuwa linatumika, siku hizi watz hawatumii hilo neno
 
Nimetafakari sana lakini naona wazi Mkuu
utakwenda kuungana na wale jamaa wa ITIKAFU.
 
iyo kozi unayochukua ina kipengere cha SPOTI?,kuna watu wanatusumbua huku mkuu,msaada wako tutauhitaji kama utafanya kazi kwenye spoti
 
YESU KRISTO pekee atosha kujilinda na kulinda wenzako; achana na uchawi
 
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..









 
Last edited by a moderator:
Pole umepotea.
Huyo mchawi wako ni sisimizi.
Mm nipo na master of creation aliyeumba hao wachawi na kuwapa pumzi. Nakushauri njoo huku kwa muumba wa Mbingu na nchi,achana na huyo aliyeumbwa tu kama wewe.
 
1. Una mpango wa kuchukua cheti, diploma, shahada au level ipi?
2. Baada ya kuhitimu una mpango wa kusaidia wengine?
3. Sifa za kujiunga kwa huyo mwalimu ni zipi?
4. Mtu anaweza kuchukua kozi fupi mfano ya urubani wa fastjet za usiku tu?
5.Utaratibu wa malipo upoje? Na ni malipo ya namna gani?
Ni haya tu kwa sasa.

6.barua ya maombi nitumie anuani gani!
7.unaambatanisha na nini au cheti cha kifo...USINILOGE MKUU
 
Huwezi kusaidia mtu kwa mbinu yako hii. Hapa inaonekana wewe ndio unahitaji msaada!!!
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
 
Back
Top Bottom