Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 1,003
Actually nita specialize kwenye necromancy..Kufufua misukule ni kitu kidogo sana katika uchawi!
Necromancy ni nini? (Usiniambie ni google tafadhali!!)
Actually nita specialize kwenye necromancy..Kufufua misukule ni kitu kidogo sana katika uchawi!
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
Asante sana kaka kwa hizi link, hope itanisaidia sana. More links please
Ni vizuri kujifunza ili ukijua kuwa hauna maana ugeukie kutafuta njia sahihi.
Interesting...
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
Hata kile unachokiita kibaya au sumuvkwa leo kumbuka kiwa kilionjwa. Tatizo hali liwe ni kama atakuqa mchawi ndiyo mbaya lakini kama ataujua uchawi kunavubaya gani? Maana yeye atakuwa anajua kuutegua tu kila unapotegwa.ANGALIZO:Mambo haya ya kupenda kujifunza mambo ya hovyo ipo siku tutasikia mtu anajifunza ushoga!
mbona kunatuhuma za wachungaji wachawi kwa taarifa yako hata wazungu baadhi wachawi wapo wenyewe wanaita Pseudo-scincembona mambo mengii ya kichawi yanafanana sana na yanahusiana moja kwa moja na dini ileee ya kujitoa mhanga na ugaidi?
Asante sana kaka kwa hizi link, hope itanisaidia sana. More links please
![]()
JINI CLAUNECK;
Jini huyu ana Nguvu na Mamlaka juu ya Vitu na Utajiri,
Anaweza Kuvumbua Hazina iliyofichwa, kwa yeyote atakayeweka Mkataba nae,
Ana uwezo wa Kumzawadia Mtu Utajiri mkubwa kwani yeye anapendwa sana na Lucifer,
Ana uwezo wa kukuletea Pesa kutoka mbali,
Mtii naye atakutii!
Je unahitaji kuzungumza nae?
Jinni Ifreet.Jini aliyeleta internet tunayotumia leo.
![]()
Jinni Afrit Jini aliyekuwa na firaun wakati mwingi.
Jinni Ghoul.Jinni la jangwani.Jini baya hili
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
Huwezi kusaidia mtu kwa mbinu yako hii. Hapa inaonekana wewe ndio unahitaji msaada!!!
Kwenu wapi huko?
Huyo lazima ni tapeli. Uchawi haufundishwi, unalithiwa!