white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
Kauli kama hizi ndizo ambazo wajinga wanazipenda!!na eti wanaziamini, jana kwenye uzinduzi wa safari za ndege chato nilimuona mama fulani anamshukuru mheshimiwa kuwa amewasaidia sana kwani sasa watakuwa na uwezo wa kuja asubuhi dar kuleta samaki fresh, halafu jioni wanarudi chato!!sasa kwa akili hizi kuna nini hapo?!!mtaji wa kuleta sato hao labda ndio nauli ya ndege kwenda tu!!cha kushukuru.mungu ni kuongoza watu ambao asilimia 80, hawajielewiSerikali Haijaagiza Hayo Hao Viongozi Wanakwenda Kuichonganisha Serikali Yetu Na Wananchi