Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Wakuu, yaan hapa bora kununua tu kuliko kuleteana mambo ya ajabu.

Screenshot_20250705_112712.jpg
 
Mpo busy na kupe, mtakufa masikini wallah. Wanawake wa sasa tumia akili sana kwenda nao sawa, bahati mbaya tunakitaka kipapa, wamesema hawauzi ila hawatoi bure...noma sana!!
Yaan mkuu acha tu hawa watu wa ajabu kinoma mpaka nimeshangaa huyu mboni km anauza ila anasema hauzi mara yeye sio malaya ila mienendo yake ikafanya taa nyekundu iwake haraka sana
 
Hebu tuonyeshe meseji za juu pia, mbona kama tayari ulishamuomba mbususu japo ndiyo mmekutana tu 😅😅😂
Hakuna yeye ndio kakomalia bando anataka bando nikamwambia tulia yeye kashika bango anataka bando ndio tuchat taa nyekundu ikawaka huyu ndio walewale ila hataka ku-disclose the fact kua ni muuzaji mzuri tu
 
Usitoe pesa yako kizembe mkuu, hawa ni kupe..watakunyonyq damu hadi ufe. Isho nao kwa akili sana, huwa hawaishiwi matatizo.
Mkuu nimekuelewa sana ndio maana nikashtuka mapema sana lasivyo ningekua nishatuma na ya kutolea haraka sana kumbe naingizwa king
 
Back
Top Bottom