Wapi wameileta ?Ila mkuu hii hoja ya uthibitisho kuwepo kwa Mungu ni atheists tu naona huileta hii hoja kama kutaka waonekane wao ndio wako sahihi ila kimsingi haikupaswa hata kuwa suala la kujadili. Kwa sababu msingi wa uwepo wa Mungu upo kwenye kuamini kuwepo kwake na ndio maana hata yale matendo(maamrisho) anayotenda mwenye kuamini huwa na malipo yake kwa sababu hamuoni huyo Mungu na hakuna uthibitisho ila kakubali kukubali kuwa yupo na anatekeleza maamrisho kwa imani.
Well said!Kila mtu aamini anachokiamini,anayeamini Mungu yupo aishi kwa kumuamini Mungu na asiyeamini uwepo wa Mungu nae aishi maisha aliyo yachagua,
Hua sioni mantiki yeyote ile ya watu kubishana kuhusu uwepo wa Mungu au kutokuwepo, coz haya mabishano hayatokuja kua na mwisho wala kupata mshindi au mshindwa,
Kuna watu humu JF miaka na miaka wapo kwenye haya mabishano ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwa Mungu,
Kwanini utumie nguvu na muda wako kubishana au kujadili hii issue? Wewe amini unachokiamini kisha piga kimya,
Hakuna haja ya kupangiana namna ya kuishi hasa kwenye mambo ya kiimani,
Sijaona hata mantiki ya mleta mada kuutangazia umma kuhusu uamuzi wake,
Kila mtu afuate anachokiona ni sawa kwake,tukutane mwisho wa safari kwa wenye kuamini.
Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tuWakristo ni wengi sana manabii na mitume wengi pia ila kuna waongo na wakweli! Kuwajua ndio mpaka uwe ndani ya imani!
🚮Tunaomwamin Mungu tunajua hizi ni siku za mwisho, so watu Kama wew mnaopinga uwepo wa Mungu mtazidi kuongezeka
SawaUmejitungia mambo yako bila kuelewa hoja yangu
Nani amesema inatakiwa ifuatwe?Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tu
Sio lazima useme wewe ili mimi niandike .Nani amesema inatakiwa ifuatwe?
Imani za uongo zipo kwa sababu zinatoa mafunzo ya uongo, naona nyie atheist ndizo mnatumia kuwakosoa wanaomuamini Mungu!Sio lazima useme wewe ili mimi niandike .
Madai ya kutaka uthibitisho wa kuwepo Mungu ni atheists ndio huleta madai hayo, wao ndio hufanya hitimisho kwa kusema hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.Wapi wameileta ?
Duh , tuishie hapaImani za uongo zipo kwa sababu zinatoa mafunzo ya uongo, naona nyie atheist ndiozo mnatumia kuwakosoa wanaomuamini Mungu!
Wanadai tu bila nyie kudai yupo?Madai ya kutaka uthibitisho wa kuwepo Mungu ni atheists ndio huleta madai hayo, wao ndio hufanya hitimisho kwa kusema hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.
Mungu yupo, tunajua shetan amefunga ufaham wenu, ili msiifahamu kweli..
Hizi tataka za mahubir sio uthibitisho wa uwepo wa Mungu🚮Mungu yupo, tunajua shetan amefunga ufaham wenu, ili msiifahamu kweli..
Kama ni hivyo kusingekuwa na huu ubishani wa kuhusu imani ya kuwepo Mungu, kwa maana wasioamini wangeacha tu hii imani kama ilivyo.Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tu
Hakuna anaewafuata kanisani au misikitini kuwataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu , unajua kwanini?Kama ni hivyo kusingekuwa na huu ubishani wa kuhusu imani ya kuwepo Mungu, kwa maana wasioamini wangeacha tu hii imani kama ilivyo.
Sie tudai huku tukijua na kueleza kuwa ni imani hayo madai yetu, sasa shida inakuja kwenu mnapokuja kusema mnataka uthibitisho hamtaki imani na mwishoni mnahitimisha hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.Wanadai tu bila nyie kudai yupo?
Na hawajiulizi wao wamemfanyia nini huyo MunguDhuluma ,uonevu mfanye ninyi binadamu lawama umpe Mungu.
Vaa viatu vya mungu.ungekuwa wewe ungefanya nini?
Kama ni imani tu wala hakuna uthibitisho, hivyo basi hakuna sababu ya kutaka na mimi niamini, kuamini ni haki yako wala hakuna anaekunyima kufanya hivyo .Sie tudai huku tukijua na kueleza kuwa ni imani hayo madai yetu, sasa shida inakuja kwenu mnapokuja kusema mnataka uthibitisho hamtaki imani na mwishoni mnahitimisha hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.
Hapo ndio mie nawashangaa atheists.