Nimeamua kuwa Atheist

Wapi wameileta ?
 
Well said!
 
Wakristo ni wengi sana manabii na mitume wengi pia ila kuna waongo na wakweli! Kuwajua ndio mpaka uwe ndani ya imani!
Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tu
 
Tunaomwamin Mungu tunajua hizi ni siku za mwisho, so watu Kama wew mnaopinga uwepo wa Mungu mtazidi kuongezeka
 
Madai ya kutaka uthibitisho wa kuwepo Mungu ni atheists ndio huleta madai hayo, wao ndio hufanya hitimisho kwa kusema hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.
Wanadai tu bila nyie kudai yupo?
 
Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tu
Kama ni hivyo kusingekuwa na huu ubishani wa kuhusu imani ya kuwepo Mungu, kwa maana wasioamini wangeacha tu hii imani kama ilivyo.
 
Kama ni hivyo kusingekuwa na huu ubishani wa kuhusu imani ya kuwepo Mungu, kwa maana wasioamini wangeacha tu hii imani kama ilivyo.
Hakuna anaewafuata kanisani au misikitini kuwataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu , unajua kwanini?
 
Dhuluma ,uonevu mfanye ninyi binadamu lawama umpe Mungu.
Vaa viatu vya mungu.ungekuwa wewe ungefanya nini?
 
Wanadai tu bila nyie kudai yupo?
Sie tudai huku tukijua na kueleza kuwa ni imani hayo madai yetu, sasa shida inakuja kwenu mnapokuja kusema mnataka uthibitisho hamtaki imani na mwishoni mnahitimisha hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.

Hapo ndio mie nawashangaa atheists.
 
Sie tudai huku tukijua na kueleza kuwa ni imani hayo madai yetu, sasa shida inakuja kwenu mnapokuja kusema mnataka uthibitisho hamtaki imani na mwishoni mnahitimisha hakuna Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.

Hapo ndio mie nawashangaa atheists.
Kama ni imani tu wala hakuna uthibitisho, hivyo basi hakuna sababu ya kutaka na mimi niamini, kuamini ni haki yako wala hakuna anaekunyima kufanya hivyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…