majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 1,363
- 1,564
Habari za majukumu ndugu zangu hapa JF,
Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang
NIlikuja kuomba ushaur humu na kunajambo jipya lilikuja kweny akili yang na nikachukua hatua ya kumwambia asifikilie Tena swala la mim kutakata kumuoa yeye ingawa mama mzazi ananipenda
Vijana wenzangu tuwe zaidi ya umakinI tunapotaka kuoa tusikurupuke tutajikuta kweny msongo na shinikizo la mawazo
Tusikatae ndoa Bali tuwe makini kweny kutafuta ndoa
Watu wa JF wamenipa ushaur na nimeona n kheri nusu shali kuliko shali kamili
*Achana na mwanamke asiyekuwa na msimamo juu Yako.
*Achana na mwanamke asiyekuwa na roho ya kulizka na kidogo kwan hakuna kikubwa kweny Dunia Kila siku watu wanaotafuta
*Mwanamke mwenye historia ya kuwa na mpenzi aliyempenda sana achana naye kwani upendo wa huyo jamaa bado ataishinao siku zote
##wanawake ni wengi kuliko wanaume hivyo ni vyema tutulie katka kuchagua mke
Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi kuliko uwezo Wang
NIlikuja kuomba ushaur humu na kunajambo jipya lilikuja kweny akili yang na nikachukua hatua ya kumwambia asifikilie Tena swala la mim kutakata kumuoa yeye ingawa mama mzazi ananipenda
Vijana wenzangu tuwe zaidi ya umakinI tunapotaka kuoa tusikurupuke tutajikuta kweny msongo na shinikizo la mawazo
Tusikatae ndoa Bali tuwe makini kweny kutafuta ndoa
Watu wa JF wamenipa ushaur na nimeona n kheri nusu shali kuliko shali kamili
*Achana na mwanamke asiyekuwa na msimamo juu Yako.
*Achana na mwanamke asiyekuwa na roho ya kulizka na kidogo kwan hakuna kikubwa kweny Dunia Kila siku watu wanaotafuta
*Mwanamke mwenye historia ya kuwa na mpenzi aliyempenda sana achana naye kwani upendo wa huyo jamaa bado ataishinao siku zote
##wanawake ni wengi kuliko wanaume hivyo ni vyema tutulie katka kuchagua mke