Nimeamua kumtema mazima.

Nimeamua kumtema mazima.

Ni wakati muafaka wa JF kuwa na jukwaa maalumu la watoto. Huko patamfaa WA KISHUA.
 
Last edited by a moderator:
Nilidani kuna lamaana unataka kutuambia kumbe ishu ni short and clear kwamba plan zako zauzinifu na dada wa M/city ziligonga mwamba ukahamua kususa jumla! Khaah!


Sio kama Nimelipia Internet ila hapa Home Kwangu Internet ipo 24/7, Tatizo hii MacProBook yangu imeisha Charge ndio sasa imekaa poa.

akaniambia kwamba anaishi na dada yake ambaye anafanya kazi sekta flani hivi ya serikali, nikamwambia sawa ila kwa jinsi 2livyokuwa 2nachat na kuwasiliana haswa nyakati za usiku alikuwa anasema kwamba mwisho wa yeye kuongea ni saa nne kamili zaidi ya hapo hawezi kwani anamuogopa huyo dada yake na pia akasema wakati mwingine huwa huyo dada yake anakuwa anamwambia awe makini na wanaume kwani mimba anaweza akapa, mimi nikamwambia kwa utu uzima wako cdhani kama hujui baya na jema, yeye akawa anasema anachukia sana tabia ya yeye kuchungwa na huyo dada yake ila hana jinsi kwa sababu ndio anamuweka hapa mjini, siku chache nyuma zilipita wakawa wanamuuguza mgonjwa ambaye alikuwa mama yake mkubwa sema kwa bahati mbaya alifariki hivyo wakaenda kuzika kwao Tabora, ila yeye hakusafiri aliyesafiri ni dada yake huyo mkali na ndugu zake wengine ambao ni wakaribu, baada ya ndugu zao kusafiri nikamwambia nadhani naweza kuja kukufariji hapo nyumbani kwenu kwa msiba uliotokea au hata kama sio hapo 2tafute sehemu nyingine tukae tuzungumze, mtoto akaleta pozi akasema hawezi kutoka kwani bado hata mama yake mkubwa hajazikwa hivyo inakuwa c o vizuri, kiukweli nilimind sana ila nikaona inawezekana ngoja nivumilie mpk pale watakapomzika huyo mama mkubwa, 2kawa 2naongea usiku na kuchat kama kawaida ya wapenzi wengine, sema kitu ambacho kilikuwa kinanikera kwa huyu bi mdada ni kuwa alikuwa anarudia makosa sana, unaweza kukuta muda mnachart alafu hajibu text au muda mwingine anachelewa kujibu, nikawa namuhoji tatizo ni nini akawa anasema hayuko poa kwani anamawazo ya msiba, baada msiba kuisha yule dada yake akawa amesharudi tyr home, hivyo 2kapanga kwamba jumapili moja tuonane ili 2weze kuvunja AMRI YA SITA kwa ukamilifu, basi jumapili ilipofika nikamuuliza inakuaje, akasema hadhani kama 2naweza kufanya hivyo kwani dada yake huyo yupo na hawezi kutoka, Niliudhika sana kwani bnafsi sipendi wanawake ambao wanatabia za kiswahili, nilichukua uamuzi wa kufuta namba yake na txt zote na nikasema ctachart nae tena,.baada ya yeye kuona nipo kimya akawa ananiuliza tatizo ni nini, mimi nikamwambia kila ki2 kisha nikamwambia sihitaji tena kuwa na mawasiliano nae, akaniomba sana nicfanye hivyo ila mimi nikaona ni bullshit kuumuza kichwa kwa mwanamke ambae anaelimu ndogo na uwezo pia kwaiyo nikaona sio ishu nikachapa lapa, mpk leo ha2wasiliani tena. Je, Hapo Nimefanya Makosa ? nahitaji ushauri wenu kuhusu uamuzi nilioamua.
 
Ni wakati muafaka wa JF kuwa na jukwaa maalumu la watoto. Huko patamfaa WA KISHUA.
 
Last edited by a moderator:
Hii cinema ni ndani ya mwezi mmoja tu?
Kweli watoto wa siku hizi mnamakuu, mkikutana na mwanamke mawazo ni kungoneka tu !
Uaha piga lapa sasa unataka ushauri gani, unataka kurudi huko tena?
 
amefanya vizuri kukunyima maana ulimpenda baadae mambo kuwa magumu unasema 'kwanza mtu mwenye anaelimu ndogo'.penzi haliagalii hilo broza.
 
unajua sana kuongea bwana mdogo.

Tuachane utani WA KISHUA!! Hv nisipokubaliana na mtazamo wako ni vita, maana naona km unataka kunipa za uso vile tu nipo mbali nawewe, mimi mwenzio nimekuambia ninachokiona kwenye thread yako ya pili sasa!! where am wrong??

Anyway endelea kupost kadri uonavyo ila gharama ni yako kaa ukijua hivyo, usipepese macho!!
 
makosa makubwa ni yako unaejua kuwa wanawake wenye elimu kubwa ndio wanatoa haraka na umemuacha kwa kua huwezi kukaa na mtu mwenye elimu ndogo,je elimu na mapenzi vinauhusiano gani?mi nadhani umekosa swaga za kumnasa tu,jitahidi usikate tamaa haraka
 
Habari za asubuhi Mabibi na Mabwana, wakubwa na wadogo natumaini mnaendelea vizuri, mwanzoni wa mwezi kwanza mwaka 2013 nilikwenda pale Mlimani City kwenye duka ambalo linauza bidhaa za Samsung, kwa bahati mbaya au nzuri ambayo naweza kusema ckuweza kupata kitu nilichokuwa nahitaji dukani pale, hivyo wakanielekeza sehemu nyingine, wakati natoka nikakutana na dada mmoja ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa pale, akasema kama ameshawahi kuniona maeneo ya leaders club, bnafsi nikamwambia inawezekana kwani pale ni moja ya sehemu ninazopenda kwenda, kwa kuwa nilikuwa na haraka nikampatia My Bussiness Card ili 2wacliane zaidi, Kidume huyo nikachapa lapa, ikapita kama siku tatu hivi nikaona namba ngeni inaingia katika simu yangu, nikapokea na kuckiliza sauti ya upande wa pili, alikuwa ni yule bi mdada niliyeonana naye pale M-City baada ya yeye kujitambulisha, Mawasiliano yakaendelea kuanzia pale, sio siri ameumbika kiaina yule bi mdada , anashape ya kimodel hivi alafu mashalaah , sasa tulivyokuwa katika mchakato wa kuchat ili kukumbushana wapi tulionana bnafsi ckuweza kumkumbuka na nikamwambia ukweli ila nikamweleza c mbaya kama tutakuwa marafiki akasema hapana shaka kuhusu hilo, siku zilizofuata tukawa tunaendelea kuchat na kupeana habari mbalimbali pia kufahamiana, Uzalendo ukanishinda na kama mnavyojua NZI KUFIA KWENYE KIDONDA NI USHUJAA ikabidi nimtemee Madini, Mtoto akasema nimpe muda, nikamwambia hilo sio shida basi baada ya wiki moja akawa amenikubali, baada ya kuaccept my request nikaona ngoja nimkaribishe Home kwangu ili aweze kupafahamu, Jumapili moja akaja mpaka Home kwangu, nikamtreat kiV.I.P haswa mpk mwenyewe nilipokuwa namuangalia alikuwa ni m2 ambaye amekubali kwamba KIDUME najua kuCARE, Swali la kwanza aliniuliza unawezaje kuishi kwenye Nyumba kubwa kama hii mwenyewe, Nikamwambia huwa naishi na wadogo zangu ila kwa sasa wapo Boarding ndio maana nyumba imepwaya, basi siku ile 2liishia romance na michezo ile ya kawaida sema ha2kusex, nikamcndikiza mpk maeneo anayoishi ambayo ni kijitonyama kisha kidume nikarudi kuendelea na mambo yangu mengine, usiku wake 2kaongea sana, akaanza kunielezea mambo yake ya kifamilia na v2 vingne vingi ila sehemu anayoishi amepanga yeye na dada yake,...Nitaendelea baadae Charge Imeisha kwenye Laptop yangu.


utoto na fiksi nyingi hapa.
 
Daaaah mjeda staili inatutesa sana hapa JF!!! Stori kama hii inaonekana siyo ndefu ilibidi utiririke moja kwa moja ili watu tuanze kutupa comment zetu chapp!!!
hahaha yule mjeda alikua nomaaaa,siku comment chochote kwenye ile hadithi yake ila chamoto nilikiona,,Chomeshwa sana mahindi,,,lol
 
Huna lolote muharibifu tu wewe,hukumpenda kweli...ulitaka game na game kakunyima umemmwaga....tuambie ukweli ulipomtokea hukuwa na dem wewe?
 
hahahahahahahah.....!:glasses-nerdy:
 
mkuu i am sure one day utakaa chini halafu utasoma haya na kujishangaa sana,..sorry, how old are you?

Na kwa taarifa yake sasa dem hana cha dada mkali wala ushu***z kamchezea game tu, kamuona mzugaj na yeye kaamua kumzuga....Kudadadek..chezea madem wa mjini wewe....
 
Haya sasa watu tukitoka na mafataki hamtuelewi....mmeona mambo hayo ya "WA KISHUA"....UTOTO KIBAO...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom