Nimeamua kumtema mazima.

Nimeamua kumtema mazima.

tutaanza kuchoka hadithi zisizo na kichwa wala miguu kwenye hili jukwaa
 
Daaaah mjeda staili inatutesa sana hapa JF!!! Stori kama hii inaonekana siyo ndefu ilibidi utiririke moja kwa moja ili watu tuanze kutupa comment zetu chapp!!!

Design hiyo inachosha kufuatilia habari yake. Nshaamua,nikikuta mambo ya kuahirisha nachomoka mazima.
 
we WA KISHUA ujue una harakati za kipimbi sana nimechunguza visa vyako unavyopost huwa vinafanana na jamaa fulani anaitwa pimbi wa gazeti la sani.
Source😛ost zako hapa MMU.

Bnafsi SIAMINI katika hilo, huo ni MTAZAMO wako HASI.
 
Inaonyesha umezoea MATANI na MASIHARA bwana mdogo, endelea KUKAZANA ivyo ivyo

Mm naona thread yako hii ya pili nimeisoma, lakn du huwa sioni km zina mantiki!! hata ku-comment unajiuliza mara mbili mbili!! hv unadhani kuwa hili jukwaa ni la kupost kila tukio linalokutokea street?? au ni jukwaa la kila aina ya idea utakayokuwa nayo kwenye medula oblongata!!

Ushauri wa bure, jitahidi uwe mrefu kidogo unaonekana mfupi sana wa kishua!!
Ahsante!!
 
ila we ni mburula kuliko wenginge wanavofikiri ni mburula!
hao wanawake wanaohangaika na wewe kwa style hii unawapataga wapi dogo!mbn unaonekana mshamba mwili mzima best!

Shiiiii, taratibu snowhite, jamaa anakaa kwenye boooonge la jumba a.k.a machinjio.

Sasa sijui kajenga au kapanga?
 
Last edited by a moderator:
mm naona thread yako hii ya pili nimeisoma, lakn du huwa sioni km zina mantiki!! Hata ku-comment unajiuliza mara mbili mbili!! Hv unadhani kuwa hili jukwaa ni la kupost kila tukio linalokutokea street?? Au ni jukwaa la kila aina ya idea utakayokuwa nayo kwenye medula oblongata!!

Ushauri wa bure, jitahidi uwe mrefu kidogo unaonekana mfupi sana wa kishua!!
Ahsante!!

unajua sana kuongea bwana mdogo.
 
Mm naona thread yako hii ya pili nimeisoma, lakn du huwa sioni km zina mantiki!! hata ku-comment unajiuliza mara mbili mbili!! hv unadhani kuwa hili jukwaa ni la kupost kila tukio linalokutokea street?? au ni jukwaa la kila aina ya idea utakayokuwa nayo kwenye medula oblongata!!

Ushauri wa bure, jitahidi uwe mrefu kidogo unaonekana mfupi sana wa kishua!!
Ahsante!!

hili alizingatie sana!
 
Shiiiii, taratibu snowhite, jamaa anakaa kwenye boooonge la jumba a.k.a machinjio.

Sasa sijui kajenga au kapanga?
awe kajenga kapanda kusema ukweli mwanaume wa kujisho show hiv walahi angejua anajitafsiri vipi! wala asingekuwa anapost anayopost humu SnowBall pacha wangu! njoo umuone jamaa yako wa kutaka kuonana na mwanasheria wake kwa kuombwa vocha ya shing 500
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuuu!!!!!!!!! cku hizi kina Chai Chungu wengi balaaa, big up
 
ila we ni mburula kuliko wenginge wanavofikiri ni mburula!
hao wanawake wanaohangaika na wewe kwa style hii unawapataga wapi dogo!mbn unaonekana mshamba mwili mzima best!

Duh! Kama namuona vile mzee wa Kansas City.
 
Nimekoma kufungua thread za Masharobaro, yaani kama kweli una elimu zaidi ya huyo SHORI baasi hiyo elimu haijakusaidia kujitambua.
 
mmmmmh kazi unayo we unataka mwanamke mwenye elimu kubwa kiasi gani ?
 
Mods tunaomba teenejas tufunguliwe jukwaa letu......!!!!!!1
 
Mungu anakupenda sana inawezekana alikuwa anakuepusha na huyo dada msitende dhambi,au asikuambukize ngoma au wewe usimuambukize nani ajua?,usirudie mchezo mchafu huo future yako itatiwa giza ukaziombolezea siku za ujana wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom