hii ipo listi ya top five ya parent's worst nightmare. usiombe ukikute
Umekosea zygote at work
Nimekupata kamandamakosa makubwa ni yako unaejua kuwa wanawake wenye elimu kubwa ndio wanatoa haraka na umemuacha kwa kua huwezi kukaa na mtu mwenye elimu ndogo,je elimu na mapenzi vinauhusiano gani?mi nadhani umekosa swaga za kumnasa tu,jitahidi usikate tamaa haraka
Nadhani ulikosea mwanzoni. Na ulikosea zaidi kuomba umtafune wakati wa msiba, hapo ulijenga picha mbaya mno kwake, pengine yeye alikuhitaji muwe pamoja muda mrefu na mwishowe kakuona huna utu.
Mke akifiwa Mume aliyetoa mahari na kuoa hadhubutu kuomba game, itakua wewe ndugu yangu, labda huyo demu angekuwa mwehu ndio zoezi lako lingewezekana. Na kama angekukubalia wakati ana-msiba mimi ningekushauri usiendelee nae huyo demu sababu ni mwehu.
E bwana ww ni MJIVUNIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
tena mjivuni kweli kweli....ana mambo ya mwaka 22...
nina umri sawa na baba yako
Ungemla siku hiyo hiyo mmeonana ndo angepata adabu,kumwacha hivi hivi lilikuwa kosa ambalo unajutia mpaka sasa.Pole sana WA KISHUA, ningelikuwa ni mimi ningemtafta mpaka nimle alafu nianze kumchunia.
Ningependa unielewe hivi lebraza , Bnafsi c MJIVUNI na nimeona w2 wengi hapa jukwaani wananiona kama vile mpenda sifa au m2 mwenye majivuno laah, haya ndio maisha yangu halisi na mimi cwezi kuzungumza UONGO kama jinsi ilivyozoeleka kwa WATANZANIA wengi, nipo hivi kama k2 ninacho huwa nasema na kama sina huwa csemi, nahisi labda ni kwa sababu muda mwingi wa ukuaji wangu nilikulia nchi ambazo ni DEVELOPED COUNTRIES nadhani ndio hilo hasa limechangia.
Ni kweli mkuu inauma sana unapojiandaa kuwa na mtu fulan for future alafu mwisho wa siku anaanza kusumbua wakati wewe pendo limekolea.Ila fahamu kwamba nia yangu haikua kumchezea, nilitaka 2we na long term relationship na wala c short term as u think, k2 ambacho kinaniboa katika maisha yangu ni m2 kusema uongo na kunidanganya wkt ndio kwnza mahusiano yalikuwa mabichi, kwaiyo nikaona kama longolongo zimeanza ndio kwanza mpira unaanza hata kama nikiingia kwenye mahusiano na huyu m2 lazima 2tashindwana kwani mm na wanawake ambao waongo na wasiojali muda ni tofauti kbs yaan, ndio maana nikaamua kummwaga kbs ili acnisumbue akili yangu, lakni cha ajabu w2 wengine wanakuja hapa kwenye huu UZI wangu na kuanza kusema ooh! unaeleza kila k2 chako ! mara utoto unanisumbua! nabaki najiuliza hili jukwaa limewekwa la kazi gani?? ingekuwa c o hivyo w2 wacngeleta shida zao hapa ili washauriwe matatizo yanayowakumba katika vipindi tofauti wanavyopitia. Ningependa nieleweke hivyo watu wangu wa hili Jukwaa la MMU na c vingnevyo.
Ningependa nikujibu kama ifuatavyo, M-city ni sehemu ninayopenda kutembelea sana, cjajua kwa nini hawa WANAWAKE WA KIBONGO wanakuwa na kasumba za namna hii, lakini kipindi nipo KANSAS niliwahi kuwa na gals ambao ni waelewa sana tofauti na wa hapa.,Kingine nilichogundua ni kwamba wanawake wa Bongo asilimia kubwa hawapendi UKWELI.
kumbe na wewe ni mkali kiasi hiki!!