Mashabiki wa Simba sc wamkumbuka Hansi Pop na kuimba nyimbo za "bring back Barbara Gonzalez"

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,789
Baada ya Simba sc kudroo na Asec Mimosa kitu ambacho mashabiki hawakutegemea kuwa Simba sc ingedondosha pointi mbili muhimu kwa mkapa.

NALIA NGWENA nilipata kusikia sauti na mayowe na kushuhudia namna mashabiki walivyovurugwa na kuchafukwa mbaya zaidi mashabiki walikaa nje ya lango la uwanja wa Benjamin na kufanya kazi ya kuzomea kila gari linalo nje wakiamini hayo ni magari ya viongozi wa Simba sc.

Shabiki 1: "hii timu inatuumiza sana mashabiki wachezaji wanacheza Kama vile wametoka Gest kulala na mwanamke hawapofit kabisa hii inakera sana.

Shabiki 2: "laiti Kama HANS POP (RIP) angekuwepo haya maswala ya wachezaji kucheza mpira pasipo kujituma yasingekuwepo"

"Hans Pop Kama mchezaji unacheza chini ya kiwango alikua mkali kweli kweli alikua anawafata wachezaji kwenye VYUMBA vya kubadilishia nguo Kisha anafoka sana''

"Nakumbuka Kuna siku moja Rally Bwalya na Miqson walicheza chini ya kiwango Na Hans Pop aliwafata akawauliza nini kinachowafanya mnacheza chini ya kiwango!?

"Saivi viongozi wa Simba sc wanaangalia maslahi Yao timu inatumbukia kwenye shimo wao wapo kimya tu mpaka wachezaji wanacheza wanavyotaka wao na MSHAHARA wanapata kiufupi viongozi wa Simba sc wajiuzulu tu watuachie timu yetu.

"Walimpiga Vita Barbara Gonzalez maana alikua anaziba mianya ya wapigaji wakamfanyia Figisu mpaka wakamtoa ni Bora huyo CEO wa Zamani (Barbara Gonzalez) arudi huyo CEO wa saivi haeleweki anafanya Nini.

"Barbara Gonzalez arudishwe! Arudishwe ! Arudishweeeee.

Hayo ni maneno ya mashabiki walizungumza kwa hasira sana kwa kumkumbuka Hansi Pop na kuomba Barbara Gonzalez arudishwe Simba sc kwani wanaamini ni mtendaji Bora na mwadilifu.

Nawasilisha taarifa.
1701106622568.jpg
 
1. Bajeti ya simba inabadilika km teuzi za mama abdul
Mwanzo waliweka bajeti Tzs billion 12, baada ya yanga kutangaza bajeti ya Tzs billion 20, simba wakabadili bajeti na kuwa Tzs billion 25 ilimradi waonekane wamewazidi yanga.

2. Na mkataba wa m-bet mwanzo ulifichwa baada ya yanga na sportpesa kutanganza billion 15, simba nao wakaongeza sifuri ili ionekane wameizidi yanga.

3. Manzoki saga

Mangungu (51%) na MO (49%) ni wanakwama pakubwa
 

Attachments

  • 1701148107180.gif
    1701148107180.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1701148107280.gif
    1701148107280.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1701148107379.gif
    1701148107379.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1701148107477.gif
    1701148107477.gif
    42 bytes · Views: 1
1. Bajeti ya simba inabadilika km teuzi za mama abdul
Mwanzo waliweka bajeti Tzs billion 12, baada ya yanga kutangaza bajeti ya Tzs billion 20, simba wakabadili bajeti na kuwa Tzs billion 25 ilimradi waonekane wamewazidi yanga.

2. Na mkataba wa m-bet mwanzo ulifichwa baada ya yanga na sportpesa kutanganza billion 15, simba nao wakaongeza sifuri ili ionekane wameizidi yanga.

3. Manzoki saga

Mangungu (51%) na MO (49%) ni wanakwama pakubwa
HATARI SANA MZEE
 
Baada ya Simba sc kudroo na Asec Mimosa kitu ambacho mashabiki hawakutegemea kuwa Simba sc ingedondosha pointi mbili muhimu kwa mkapa.

NALIA NGWENA nilipata kusikia sauti na mayowe na kushuhudia namna mashabiki walivyovurugwa na kuchafukwa mbaya zaidi mashabiki walikaa nje ya lango la uwanja wa Benjamin na kufanya kazi ya kuzomea kila gari linalo nje wakiamini hayo ni magari ya viongozi wa Simba sc.

Shabiki 1: "hii timu inatuumiza sana mashabiki wachezaji wanacheza Kama vile wametoka Gest kulala na mwanamke hawapofit kabisa hii inakera sana.

Shabiki 2: "laiti Kama HANS POP (RIP) angekuwepo haya maswala ya wachezaji kucheza mpira pasipo kujituma yasingekuwepo"

"Hans Pop Kama mchezaji unacheza chini ya kiwango alikua mkali kweli kweli alikua anawafata wachezaji kwenye VYUMBA vya kubadilishia nguo Kisha anafoka sana''

"Nakumbuka Kuna siku moja Rally Bwalya na Miqson walicheza chini ya kiwango Na Hans Pop aliwafata akawauliza nini kinachowafanya mnacheza chini ya kiwango!?

"Saivi viongozi wa Simba sc wanaangalia maslahi Yao timu inatumbukia kwenye shimo wao wapo kimya tu mpaka wachezaji wanacheza wanavyotaka wao na MSHAHARA wanapata kiufupi viongozi wa Simba sc wajiuzulu tu watuachie timu yetu.

"Walimpiga Vita Barbara Gonzalez maana alikua anaziba mianya ya wapigaji wakamfanyia Figisu mpaka wakamtoa ni Bora huyo CEO wa Zamani (Barbara Gonzalez) arudi huyo CEO wa saivi haeleweki anafanya Nini.

"Barbara Gonzalez arudishwe! Arudishwe ! Arudishweeeee.

Hayo ni maneno ya mashabiki walizungumza kwa hasira sana kwa kumkumbuka Hansi Pop na kuomba Barbara Gonzalez arudishwe Simba sc kwani wanaamini ni mtendaji Bora na mwadilifu.

Nawasilisha taarifa.View attachment 2826968
Barbra Gonzalez aliwaambia viongozi na mashabiki wa simba kama wanataka kufanya vizuri Caf champions league na kwenye NBC premier league ni lazima tukifanya usajili tutafute wachezaji vijana kama kina peter banda sadio kanoute pape sakho wazee wa 10% wakaanza kumpiga vita wakiongozwa na manara mpaka wakafanikiwa kweli kwa akili ya kawaida umuache mkude umlete sawadogo that's nonsense business poor simba management.
 
Back
Top Bottom