ni kampuni ya kichina, sio ya india.Source gani unataka? Soma hizo simu zimeandikwa wapi zimetengenezwa.
Pia mie naishi hapa New Delhi na ninazitumia. Unataka source ya Wikipedia ama?
Niambie simu yenye Ram 4, 32/64 internal Xiaomi, inagharimu sh ngapi?Mi wako vizuri sana
Hongera mkuu, mabadiliko ni sasa...mi pia nimeshatumia itel vision 1550, wako poa kwa battery inavumilia sana. Camera pia ilikuwa clear kidogo.Mimi mwezi kesho, nahamia rasmi kwenye matumizi ya Itel baada ya kutumia Tecno tangu mwaka 2012.
Sina uwezo wa kununua simu ya $900Kama una mpunga hamia iphone
hamia Xiaomi....Sina uwezo wa kununua simu ya $900
Tecno ni kampuni ya sim ambayo haina hata makao makuu....hamia Xiaomi....
Hapa nina Redmi note 4 ina week mkononi Brand new phone nimenunua Online kwa $161 madukani hapa Bongo kule Posta ni 750k au tizama Jumia market utaona simu hii ni Khatarii
Xiaomi Wakifika Tanzania TECNO watahama simu zao ni SUPER QUALITY
Tecno simu ambayo hata Ukiitafuta Gsm arena haipo wala Phone arena
wala si Amazon ,ebay wala Aliexpress wala Alibaba...HAKUNA TECNO kabisa
simu gani hiyo?
zote hizo size 5.5''Mm mwenyewe nataka kuachana nao hawa tecno ila sijajua kama niamie Nokia 6, Samsung J7 au kwenye brand za one plus na Xiaom?
We ni mfia samsung basi...ha ha ha!Iphone ni parefu.... Tecno ni majanga nashindwa kuelewa mleta thread aliwezaje kuwavumilia mda wote huo....
Samsung pamoja na kutengeneza mabomu ila siwahami ng'o...... Ndiyo kwanzaa nimechukua Samsung Galaxy S7 Edge... Ipo tu kwenye droo nimeipumzisha.....
Kula nchi mkuuhamia Xiaomi....
Hapa nina Redmi note 4 ina week mkononi Brand new phone nimenunua Online kwa $161 madukani hapa Bongo kule Posta ni 750k au tizama Jumia market utaona simu hii ni Khatarii
Xiaomi Wakifika Tanzania TECNO watahama simu zao ni SUPER QUALITY
Tecno simu ambayo hata Ukiitafuta Gsm arena haipo wala Phone arena
wala si Amazon ,ebay wala Aliexpress wala Alibaba...HAKUNA TECNO kabisa
simu gani hiyo?
Hardware ile wanayouza cement na nondo za kujengea?Naona wanazingua yani sahivi wanatoa simu kubwa display tu kama mvua. Af wanapiga bei za kimataifa wakati hardware chenga
Umenifanya nichekeHardware ile wanayouza cement na nondo za kujengea?
Ni kweli kabisa ,ila wanaopetate independently na wana ushindani baina yao ambapo kati yao One+ anashika mkia kwa mauzo China.vivo, oppo na oneplus ni kampuni moja, ni kama vile motorola na lenovo au huawei na honor, zte na nubia etc