Ziko vizuri, kuna ndugu yangu anayo imekaa poa sanaMi nimeona kuna simu zinaitwa INFINIX NOTE 3, mkuu chief, unaufahamu nazo?
Ziko vizuri, kuna ndugu yangu anayo imekaa poa sanaMi nimeona kuna simu zinaitwa INFINIX NOTE 3, mkuu chief, unaufahamu nazo?
Oppo na Vivo ni very advanced phone...ukitumia vivo utapenda sanaBaada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.
Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.
Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.
Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.
Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!
Regards,
Extrovert.
Cc: Chief-Mkwawa
A37f
View attachment 501226
A33f
View attachment 501227
Usiwe na wasiwasi muda wako utafika tu, ipo siki utaanza kununua dukani, hakuna cha bei nafuu duniani, ni suala la muda tumm sijahi kununua simu dukani...nanunua za wizi tu,napata ata ipone 7 kwa laki na nusu so sijisumbuagi na upuuzi mingine
haipo kwenye makundi hayo.Hapana mkuu namaanishi version zile za style ya p10,p15,p20 sijui x23,x25,x30 e.t.c!
.........ina maana inatumia version za zamani ama?haipo kwenye makundi hayo.
hapana sio zamani, ni ya chini tu hizo ulizozitaja ni za juu.........ina maana inatumia version za zamani ama?
Umenunua wapi mkuu?Cheap ni =>250k
Oppo ya bei hio ni sawa na tecno mnazouziwa laki 4 na upuuzi.
Mkuu chief nataka nichukue samsung s7 edge au huawei p9 unanishauri nichukue ipi?hapana sio zamani, ni ya chini tu hizo ulizozitaja ni za juu
kibongo bongo mkuu chukua samsung, hakikisha unapata na warranty yako, mpaka 2018 mwezi wa 3 s7 ina warranty, ikivunjika kioo, glass, na uharibifu mwengine ni juu yao.Mkuu chief nataka nichukue samsung s7 edge au huawei p9 unanishauri nichukue ipi?
upgrade to s8Mkuu chief nataka nichukue samsung s7 edge au huawei p9 unanishauri nichukue ipi?
Binafsi s8 body yake na muonekano haujanivutia.upgrade to s8
Sawa mkuu shukrani.kibongo bongo mkuu chukua samsung, hakikisha unapata na warranty yako, mpaka 2018 mwezi wa 3 s7 ina warranty, ikivunjika kioo, glass, na uharibifu mwengine ni juu yao.
Oppo ni mali ya wahindi. Wanayo brand nyingine inaitwa VIVO last eddition ni V5. Ipo kama I PHONE.Baada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.
Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.
Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.
Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.
Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!
Regards,
Extrovert.
Cc: Chief-Mkwawa
A37f
View attachment 501226
A33f
View attachment 501227
Nunua powerbank mkuu usijipe stressKwa nini wanaondoa removable batteries wakati batteries za smartphone bado hazijafika uwezo wa kwenda 24 hours bila recharge?
Wengine tunakwenda kwenye utafiti misitu ya Guatemala huko au kuchimba mafuta kwenye nyanda za Uzbekistan hakuna umeme huko for days. Removable batteries muhimu sana kwetu.
Nilikuwa naongea na jamaa mmoja anafanya kazi kampuni ya simu akasema wanaogooa simu kuharibiwa na watu wasiojua kufungua na kubadilisha battery wakati zikiwa kwenye warranty.
It's a freaking tyranny.
Mimi simu ambayo haina removable battery na micro sd card slot (preferably easily accessible) naona ina mapungufu makubwa sana.
Nasoma hii articke on the subject.
One of the original signature features in Android phones is all but dead
Kuna ujinga mkubwa sana wanausema. Eti watu wanataka simu nzuri na simu nzuri haziwezi kuwa na remivabke batteries.
Moja, hiyo ni design challenge tu. Wameshindwa kazi.
Pili, hivi ukiwa na simu nzuri ambayo huwezi kuitumia jwa sababu battery imekwisha, huo uzuri wa battery utakusaidia nini?
Asante mkuu,hivi tofauti ya simu ya bit-32 na ya bit-64 ni nini?hapana sio zamani, ni ya chini tu hizo ulizozitaja ni za juu
Powerbank ukimaliza betri unatumia muda kupata charge upya,wakati ukiwa na battery ushalichaji unabadilisha tu battery.Nunua powerbank mkuu usijipe stress
umenichekesha sana wewee looh!mm sijahi kununua simu dukani...nanunua za wizi tu,napata ata ipone 7 kwa laki na nusu so sijisumbuagi na upuuzi mingine