Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,634
Ukweli kabisa, wakati wa kupika vile mnavopika kiaina mtu anaweza hisi unaboronga msosiLazima washangae, ngoja niweke ndani ya malengo yangu mwaka huu by december lazima ni post nimefikia wapi
Ila wanadai wanaume wanajua kupika zaidi ya wanawake, wako makini sana, sijajua kama kuna ukweli ndani yake
Ila baada ya kuiva na kutenga mezani huo utamu wake sasa unaishia kujiramba na kutamani upikiwe tena
Sent using Jamii Forums mobile app