financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,142
- 40,729
Mkuu, acha tuu ni majangaa nahisi mume atanikimbia sababu ya msosiSiyo amoeba hahahah
Ila aiseee tuambie basi unaweza pika chakula gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, acha tuu ni majangaa nahisi mume atanikimbia sababu ya msosiSiyo amoeba hahahah
Ila aiseee tuambie basi unaweza pika chakula gani?
Vingine naweza ila chapati mraba..Tena siku nyingine trapezium kabisaaIla si unaweza pika vyakula vingine?
Hakuna getho ambalo halipik chakula. Kama upo getho afu unalipa watu kupika, kufua n.k hapo si getho tena, hapo ni ' gest 'Hatuko kwenye mashindan
Gheto nimeishi toka niko form five mpaka naua chuo
Kuna mama single maza tulikuwa tunampa hela anatupikia. Kwenye ile nyumba kuna wapangaji wengine walipanga vyumba vyao na wote tulikuwa tunachanga
Kuishi gheto si sababu ya kujua kupika. Wewe unajua kupika?
Ova
Mwanaume unapata wapi time ya kushika mchi na kusukuma chapati?Nikiwa alone ni ugali,kachumbari na samaki wa kukaanga au nanunua kijinyama robo na ndizi zangu natoa kitu cha mchemsho ndugu kama nakuona wazo la kukuna nazi baadae linavyorun kichwani mwako.
Mie nikiwa home ni sipendi kuchek online mana kuna siku mzee alichukia sana alafu nilivyoulizwa unacheka nini sikuweza kujibu. Kuna mdau aliandika online akanifurahisha sanaYan nmejikuta tu out if control kicheko...nalipua balaa...alaf mama kantizama usoni km sekunde 6 bila kuongea..nikaona anaangaza kitu cha kunipondea nikaanza mbio...ila kimenipata duuuuh chapatii
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kuishi kwangu maisha ya ubachela sikuwahi hata kuota "napika" chapati na sijui hata kukanda huo unga hadi leo.
Na katika vyakula ambavyo mabachela wengi hawajihusishi navyo ni "kupika" chapati.
Hakuna getho ambalo halipik chakula. Kama upo getho afu unalipa watu kupika, kufua n.k hapo si getho tena, hapo ni ' gest '
Sent using Jamii Forums mobile app
Please do post ukizipika tuzione hahahaVingine naweza ila chapati mraba..Tena siku nyingine trapezium kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, acha tuu ni majangaa nahisi mume atanikimbia sababu ya msosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen, japo si kama sijui kabisaa, najua jua baadhi ya vyakula.Utapata mume anayejua kupika na atakufundisha kidogo kidogo
Ila wakwe, mashemeji na mawifi hao ndio watakao kushambulia
Tupe location za hapa darisalade mkuuNapenda misosi saana...najua migahawa yote inayouza misosi mizuri...
Niulize kila menu nitakuambia sehemu ya kwenda kula.
I once visited my friend nikakuta hili jambo nikajiuliza howwww sikupata jibu. Kumbe haya mambo yapo.You know how to cook?
Au na wewe ulijisahau wali ukautia ndimu???? Kupika si mchezo hata kidogo
Thank you so much Rory. .
I once visited my friend nikakuta hili jambo nikajiuliza howwww sikupata jibu. Kumbe haya mambo yapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mengi nimejifunza kwa mama ila mengi pia nimejifunza mwenyewe.....Wewe unaweza kupika vizuri kabisa?
Ulifundishwa na bi mkubwa toka utotoni au umejifunza ukubwn?